Opera Heist: Uhalifu Uliokamilika

Mara nyingi makala za hivi ni kuhusu wenzetu huko nje. Kibongo bongo hizi ishu watu hawajapiga kweli au ndio kusema kitengo wanaficha sana mambo?
Kibongo bongo bado ni ngumu mkuu na wizi wa akili nyingi ni adimu... Wengi ni silaha za moto n.k labda na utapeli.
 
Sasa hawa jamaa wanafeli sana ivi kwani wakati uyu Singh anaingia kwa mara ya kwanza pale hotelini CCTV camera zilikua wapi? kaingia kapita Mapokezi kazungumza Camera zilikua wapi? kapelekwa kwa maneja wa Opera house kabla ya wizi kutokea Camera zilikua wapi?...

Nawaza kwa sauti tu
 
Hawakupata kipingamizi cha taswira yake mkuu... Issue ni kuwa hafahamiki na hata anakotokea si kweli ndiko yaliko makazi yake.
 
Yaani nimejitahidi kadri niwezavyo.
Sijui hata kana shida gani.

I understand, too bad that we know nothing.

Nimesogeza ratiba ya kwenda kule, itakuwa October. I think nitafika nyumbani kujua nini shida.

BTW, I'm coming back this September, remember we have unfinished business.
 
Kibongo bongo bado ni ngumu mkuu na wizi wa akili nyingi ni adimu... Wengi ni silaha za moto n.k labda na utapeli.
Bongo matumizi ya nguvu sana. Excuse my French, ila wengi wetu tumebeba vichwa kama mapambo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…