BOB OS
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 3,462
- 7,003
hahaha nitakosaje,,Nataka nipige mishen kama ya singh chief
Karbu kwenye timu mpaka sasa tupo watatu mimi wewe na manengelo
angalia usije ukatuacha mataa kama hao walinzi😀😀,,,
hahaha nitakosaje,,Nataka nipige mishen kama ya singh chief
Karbu kwenye timu mpaka sasa tupo watatu mimi wewe na manengelo
Hahahaa mkuu kwenye kazi hakuweka kuwa inahusiana na CBI hiyo alikuja kuwatonya wakati akiwafanyia usahiliPls naomba unitag. Kiufupi hao vijana hawana kesi yoyote ya kujibu maana hao CBI ndo walifanya uzembe mkubwa, inakuwaje jamaa atangaze kazi feck ambayo ni sensitive bila kushtukiwa?
Ujue hadi nimewasikitikia.Huruma kwao... Hakuna hata thumni mfukoni mwao yaani
Vipi ushatoa mpyaHahahahaha hatari sana huyo jamaa
Pamoja sanaWe acha tu, usibanduke tunamalizana leo leo
Ila walipewa nauli ndo malipo yao nadhanHuruma kwao... Hakuna hata thumni mfukoni mwao yaani