X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Mkuu amekuruhusu humutakii mema mwenzako
Hapo nimetengeneza mahusiano ya kibiashara na kindugu, uoni kama wakiweza kuwasiliana na kusaidiana, nitakuwa nimeunganisha undugu na urafiki?
Mkuu amekuruhusu humutakii mema mwenzako
Hapo nimetengeneza mahusiano ya kibiashara na kindugu, uoni kama wakiweza kuwasiliana na kusaidiana, nitakuwa nimeunganisha undugu na urafiki?
Hapana kaka, utakuta hizo decoder au receiver wakati mwingine zenyewe tu bila kuzifanya chochote tayari zina uwezo huo wa kuona na ku encrypt au to decode codes or data, sasa sioni tatizo hapo.Mkuu kumbuka vifaa vya kuchakachuwa dstv mytv canali top tv nk nibiashara halamu sawa na kokeni
Vaku wa dstv wanahangaika usiku na mchana kuzibiti na kuwasaka wabaya wao ambao ni wewe mimi na huyo unaye mutangaza hauoni ni hatali?
Hapana kaka, utakuta hizo decoder au receiver wakati mwingine zenyewe tu bila kuzifanya chochote tayari zina uwezo huo wa kuona na ku encrypt au to decode codes or data, sasa sioni tatizo hapo.
Sawa mtaalam.Hakuna kitu kama icho
Acha uoga mkuu! Mi sio mgeni kivile kwenye hii black market ila tofaut yake nilikuwa sijajiingiza kabisa, nlikuwa naletewa mizigo ya jamaa tu ila nikaja kuwashtukia kuwa wananipiga mno ndo maana nkaamua nipost mada ili niweze kupata ufahamu zaidi. Ukizingatia kwenye satellite tv nnaufahamu wa kutosha tangu enzi za kuchakachua etv, sabc. Kilichonikera zaidi kuna madogo waliniuzia Hawk dongle lakini baada ya siku tatu hamna kitu! Ndo maana nimeulizia mpeg4 hd risiva nzuri sababu nimeskia zipo zenye uwezo wa ku unlock scrambled channel. Kwahiyo uwe huru kwa kuwa hili ni darasa huru mkuu!Mkuu kumbuka vifaa vya kuchakachuwa dstv mytv canali top tv nk nibiashara halamu sawa na kokeni
Vaku wa dstv wanahangaika usiku na mchana kuzibiti na kuwasaka wabaya wao ambao ni wewe mimi na huyo unaye mutangaza hauoni ni hatali?
nashkuru sana wakuu..!Tafuta strong srt 4940 hd fully dvb-s2/s, mpeg 4/2.
Acha uoga mkuu! Mi sio mgeni kivile kwenye hii black market ila tofaut yake nilikuwa sijajiingiza kabisa, nlikuwa naletewa mizigo ya jamaa tu ila nikaja kuwashtukia kuwa wananipiga mno ndo maana nkaamua nipost mada ili niweze kupata ufahamu zaidi. Ukizingatia kwenye satellite tv nnaufahamu wa kutosha tangu enzi za kuchakachua etv, sabc. Kilichonikera zaidi kuna madogo waliniuzia Hawk dongle lakini baada ya siku tatu hamna kitu! Ndo maana nimeulizia mpeg4 hd risiva nzuri sababu nimeskia zipo zenye uwezo wa ku unlock scrambled channel. Kwahiyo uwe huru kwa kuwa hili ni darasa huru mkuu!
strong srt 4940 hii hapanashkuru sana wakuu..!
Acha uoga mkuu! Mi sio mgeni kivile kwenye hii black market ila tofaut yake nilikuwa sijajiingiza kabisa, nlikuwa naletewa mizigo ya jamaa tu ila nikaja kuwashtukia kuwa wananipiga mno ndo maana nkaamua nipost mada ili niweze kupata ufahamu zaidi. Ukizingatia kwenye satellite tv nnaufahamu wa kutosha tangu enzi za kuchakachua etv, sabc. Kilichonikera zaidi kuna madogo waliniuzia Hawk dongle lakini baada ya siku tatu hamna kitu! Ndo maana nimeulizia mpeg4 hd risiva nzuri sababu nimeskia zipo zenye uwezo wa ku unlock scrambled channel. Kwahiyo uwe huru kwa kuwa hili ni darasa huru mkuu!
Naona hujanielewa, mimi nilichosema ni kuhusiana na kumueleza mkuu kuacha uoga na kuanza kuwataja dstv wakati wenyewe wanalitambua hili, na kama kuzuia watakesha kwenye mitambo yao lakini kukamata watu basi tutasombwa nchi nzima maana watu kibao wanachakachua! Na suala etv nilitolea mfano tu kuwa kipindi kile nilijihusisha sana na uchakachuzi wake lakini baada ya kubanwa na kitabu nikaachana kabisa na hyo kitu, na sasa baada ya kurudi ulingoni ndo nikakuta mambo mengi yamebadilika ndo mana imenibidi niombe huu msaada. Na sidhani kama kuna sehemu nilikoandika kuwa ni muongo naomba usome vizuri, lengo lilikuwa ni kumtoa hofu mkuu.Mkuu umesema hauna ufahamu wakukusaidia unamwita mwongo sijakusoma
Tofautisha etv ya kipindi hicho na sasa au dstv my tv topo tv canal nk nikwanini? Kwasasa unashindwa kuchakachu etv
Unaamini kila uambiwalo na kubisha kila uambiwalo nikweli hauna {ufa
ham}
Sawa mkuu, ila njia nyingine ni kama zipi? Na je zinapatikana kwa shilingi ngapi kwa hapa bongo? Maana kuna fundi hapa amenishauri ni nunue Arisati ili anifunie na dongle! Sasa hii device siiamini sana maana naskia inaweza ikakaa hata wiki mbili bila kufungua channel kama password zikibadilishwa!Mkuu nimetumia risiva nyingi ikiwemo OPENBOX S9 na S10. STRONG 4930 zote. HD pvr zinauwezo sawa si kwakuchakachuwa peke yake kunakuwa nanjia nyingi
Sawa mkuu, ila njia nyingine ni kama zipi? Na je zinapatikana kwa shilingi ngapi kwa hapa bongo? Maana kuna fundi hapa amenishauri ni nunue Arisati ili anifunie na dongle! Sasa hii device siiamini sana maana naskia inaweza ikakaa hata wiki mbili bila kufungua channel kama password zikibadilishwa!
aliniambia kama 150000, na kunifanyia full installation aliniambia nimpe 300000..!Mkuuu hembu muulize huyo fundi Dongle inapatikana kwa bei gani?