OPARESHENI: Vigogo vya kukatia nyama Buchani kukamatwa na kuchomwa moto

Sema nyama ya kukata na gogo ina matesta yake,.Alafu hizo mashine za kukatia nyama wajiandae tu kuwa vibubutu maana kwa kukata mikono ni noma
 
Hizi mashine huwa nikizitazana nashindwa kuelewa, yaani utakuta ni mota tu na msumeno. Sasa kinachonishinda kuelewa ni kwa nini wahandisi wetu wameshindwa kabisa kuweka msisitizo ili tuwe na kiwanda chetu angalau kwa kipindi hiki ambapo sheria inalazimisha uwepo wa soko?
 
Mi nawaonea huruma hawa wauza nyama Maana zile machine ukikosea tu imepita na kidole
 
Kabla ya kuchoma magogo wahakikishe kuwa kila bucha lina generator. Nadhani watakuwa hawajajiuliza kuwa umeme ukikatika hiyo nyama itakuwa inakatwa na nini. These butchers needs those magogo as a back up in case of power outages.
 
Hizi mashine huwa nikizitazana nashindwa kuelewa, yaani utakuta ni mota tu na msumeno. Sasa kinachonishinda kuelewa ni kwa nini wahandisi wetu wameshindwa kabisa kuweka msisitizo ili tuwe na kiwanda chetu angalau kwa kipindi hiki ambapo sheria inalazimisha uwepo wa soko?
Umenena vyema,hizi mashine zinatoka nnje garama ni kubwa Kwa mtu Mwenye mtaji Wa laki mbili au laki na nusu Kwa uswazi hataweza kumudu mashine
Rais wetu Wa wanyonge aangalie hili hizo mashine zitengenezewe hapa ziweze kupatikana Kwa bei nafuu
 
Kwenye bar nako vp..maana napokulaga kitimoto huwa wanaikatakata kwenye kibao Cha mbao
 
Kwa hili itabidi niache kula nyama aiseee. Maana wear and tear vyuma vinabaki kwenye nyama. Bora vipande vya mti kuliko chuma. Huu ni uamuzi wa kinaa kuwahi kufanyika na nina wasiwasi wao ndio wana maduka ya kuuzia hizo mashine. Kubaff kabisaaaa.
 
Machine sawa, kuchoma vigogo no, vina kazi siku umeme ukikatika. Wasisitizwe usafi kwa kuviosha kwa maji Moto Kula jioni wafungapo biashara.
 
Chakula chore ulacho kina madini ya chuma toka ardhini. Tunatumia chuma kukata vyote mapishi jikoni na chembe za chuma hubakia. Lakini usijali, mwili wetu is a perfect machine, it can regulate itself.
Kwa hili itabidi niache kula nyama aiseee. Maana wear and tear vyuma vinabaki kwenye nyama. Bora vipande vya mti kuliko chuma. Huu ni uamuzi wa kinaa kuwahi kufanyika na nina wasiwasi wao ndio wana maduka ya kuuzia hizo mashine. Kubaff kabisaaaa.
 
Hizo mashine zinatumia umeme,vipi huko vijijini ambako umeme haujafika?
Umeme umefika kote Tanzania na ndiyo maana tuna viwanda 4000 nchi nzima., wastani wa viwanda 153 kila mkoa.

by the way, pongezi kwa JESCA kuhitimu, natumai sasa kale ka boifrend kako katakuja kutoa mahari kwa mze baba
 
Back
Top Bottom