oooooooooooohps!

baby wanaume wote wangekuwa kama wewe kesi za ndoa zisingekuwepo.
hapa itakuwaje huyu swahiba wangu umemuahidi kumpeleka sehemu,kaoga,kavaa na kujipulizia parfume ya laki 3 uache kujiingiza kwenye mitego ya hivi sawa ?
 
ujuage watu wa kuwatania(wakina FN na Salanga) huyu ni spidi 120 kwenye kona,siwezi mwacha home eti naenda kununua vocha inaweza kula kwangu lol!

hahahahaha! Sawa sawa maana nikicheka na nyani.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…