Ooooh mwanamke chura..chura my foot

Ooooh mwanamke chura..chura my foot

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,618
Reaction score
27,599
Kuanzia leo tunasema hivi kitu mnato ndio kila kitu na sio kutuaminisha eti mwanamke chura na kutuponda flatscreen,,Zamaradi hana chura lakin Ruge kaliaaa na kutaka kufa kisa zamaradi kumuacha,,zamaradi kugombewa na bwana wawili na hana chura mnataka kusema nini hapa
Kina sanchoka,masogange wanazurua na chura zao hatusikii hata wakililiwa au kugombewa waolewe
Mtupumzishe tunapendwa hivyp hivyo na htuweki vigodoro
.
.
kumbuka "Tembo hafugwi anaangaliwa tu mbugani na kumuacha aende zake "
 
Flat screen naona mnajifariji.
Ruge alikua under influence of alcohol, angekua sober kisha akalia hapo ningeelewa. Lake zoners hua hatulilii mbunye.

Labda nikusaidie ujue, wanaume tunaweza kufake love au kilio ili tuendelee kukuweka kwenye waiting list hata kama mtu anajua hakuoi, ila anapenda akuhold tu uwepo uwepo.

Hivyo kufanya hayo hakumaanishi tunapenda au unapendwa ila hua hatupendi ku realese mali zetu hata kama hatuzitumii.
 
Kuanzia leo tunasema hivi kitu mnato ndio kila kitu na sio kutuaminisha eti mwanamke chura na kutuponda flatscreen,,Zamaradi hana chura lakin Ruge kaliaaa na kutaka kufa kisa zamaradi kumuacha,,zamaradi kugombewa na bwana wawili na hana chura mnataka kusema nini hapa
Kina sanchoka,masogange wanazurua na chura zao hatusikii hata wakililiwa au kugombewa waolewe
Mtupumzishe tunapendwa hivyp hivyo na htuweki vigodoro
.
.
kumbuka "Tembo hafugwi anaangaliwa tu mbugani na kumuacha aende zake "
Pole sana, mwanamke bila kalio kubwa ni sawa na chai bila sukari!
unipite mbali kabisa wewe
 
flat screen usumbufu wa kutongozwa haupo ndio maana tunawaweka ndani,siwezi kuoa mwanamke halafu marafiki zangu na majirani waanze kutokwa na udenda,chura ni mchepuko kwa ajiri ya kuzima tamaa,na ndio maana wenye chura wote wanaishi kwa kutegemea wanaume au waume za watu,na wao wanajijua kuwa sio watu wa kuolewa but kutuburudisha na kutusahaulisha mawazo na kero za wake zetu flat screen...nadhani kwa huu mchanganuo utakuwa umeelewa maana...
 
Back
Top Bottom