Kifai
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 816
- 173
Watu wengine bwana!!! Cdm wakiwa na mkutano usipofurika watu "Cdm imekosa mvuto", watu wakifurika "Hawakua na kazi zakufanya" Jamani!!! mbona onyo hili ni baada ya Cdm kufanya mkutano wa kihistoria Mwanza? Watanzania wa leo sio wa jana.. Wanajitambua na haohao WAPINZANI ndio wamewafungua macho, kupitia MIKUTANO na BUNGE...
Nimefuatilia mkutano leo! Hata sura za wananchi zinaonesha ziko pamoja na wanachokisema viongozi wa CDM... Penye ukweli tukubali tuu... CHADEMA Mwanza mmeonesha umwamba wenu leo... Hongera sana.
Upo sahihi mkuu, mwanza shikamooni, jana nimewakubali asee