Onyo kwa yanga

Ngojeni Azam tujibebee hilo kombe lenyewe halafu ndio malalamoko yaongezeke.

KUpitia wapi,unajua kitoabu uasi ni mbaya sna tangu uiasi simba kwa vibuku saba na kujiunga na Azam umekuwa na matatizo sana ulipokuwa simba haukuwa hivi!!
 
Mkuuu ufungwe kiharali basi sio kifitna ndo mana hata azam hamwendelei japo mnatoa mahela kibao kuwekeza kisa hiyo michezo michafu
Tulishajua mapema "mkifungwa lawama haziishi"
 
Mkuu namfahamugi vizuri kule hua ana akili sana anatoa point, ila ikifika kwenye michezo anamkabizi akili maharage hua ananza tumia kamasi kufukiri
 
hivi refa akikosea ndio washabiki mpige gari mawe nawasilisha tu
 


pENALTY ILIKUA YA HAKI, MI NILIKUWAPO UWANJANI , WALA HAKUKUWA NA FITINA ! kama rafu hata Yanga walicheza sana.
Shida Mashabiki mnakuwa na Jaziba na kuupindisha ukweli.
 
Uhuni huu ndio unaifanya azam izidi kudumaa kwa kutegemea marefa
Hao wengine pia wanaweza ni kuwandaa tu. Bila kichapo hata TFF haitazinduka. Lazima wafanye evaluation ya waamuzi kila wakati
 
kwa post yako, unataka kutuaminisha kwamba Ashanti walionewa nyie mkawafunga 5 sio??
 
Yaani kutoa draw mnalialia hivi? ngojeni muanze kufungwa ndo mtajua kama mmesajiri wachezaji au porno stars.
 
hivi si ndio huyu jamaa aliyeunawa siku ya taifa starz na uganda kule uganda mbona hamtumii akili..
 
Tumetengeza timu waliosajili wahuni wa wala unga na wavuta mibangi ni coastal
Yaani kutoa draw mnalialia hivi? ngojeni muanze kufungwa ndo mtajua kama mmesajiri wachezaji au porno stars.
 
tatizo la yanga wamezoea kubebwa.mwamuzi anayechezesha halali hawamtaki.mwaka huu mtalialia sana.kichapo tu.
 
Mkuu waache tu na fitna zao, lakini watabana wataachia wenyewe. Kikombe mwisho wa msimu kinabaki Jangwani piga ua.
 
Kulazimisha ushindi kunakufanya ulete siasa hapa.kama hamtaki wachezaji wakwatuliwe watafutieni kazi ya ukarani.simba na yanga mna matatizo sana.watu wanazungumzia mpira unaanza oooh chadema.mgewafunga nyingi muone kama tungemzungumzia refa hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…