sweetlee
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 4,050
- 14,764
Ni biashara halali. Tatizo hapa kwetu wajanja wengi.Mama kule juu nimeuliza swali hujanijibu,
Nimekuuliza hivi utafiti wako ulimalizaje je uligundulia forex ni utapeli tuuuuu au
Ni biashara halali. Tatizo hapa kwetu wajanja wengi.Mama kule juu nimeuliza swali hujanijibu,
Nimekuuliza hivi utafiti wako ulimalizaje je uligundulia forex ni utapeli tuuuuu au
Oooh hapo sawa nimekuelewa,Ni biashara halali. Tatizo hapa kwetu wajanja wengi.
OKOooh hapo sawa nimekuelewa,
Na wengi wao wanaojifanya wanaijua forex ni hawa baadhi ya vijana na wanafunzi wa vyuona! Wanajifanya wao wako up-to-date na techonogy wakati ushuzi tu!mama muuza mbege wakati nachukua oda zangu nimekutana na mada watu wanataka kutrade forex.niwaonye tu walevi wangu hiyo biashara haina regulatory body .hela ikiliwa ni imeliwa hutoweza kushtaki popote.ukitaka kujua jinsi ilivo feki fungua demo account hautokaa upoteze utakuwa unapata tu hata kama unakosea maksudi.lengo ni ili wakuvutie uweke mihela sasa hapo ndo utajua kama mbege ni zaidi ya henken.
bitcoin,forex trading ni kitu kimoja. broker wenu ambae ni mleta mada yulee atapata mihela huyo ngoja nihudumie wateja wengine naona wameingia kilabuni hapa
nachukua oda za mbege bado .
Toka hapa na ujinga huo wa mabroker ushuzi!Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.
Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.
Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.
JISAJILI SASA
Usisite kuomba msaada
TemplerFX | Promo
Halali kwa dunia ya kwanza sababu zipo regulated, hapa bongo haziko regulated ni ushuzi mtupu uliojaa wezi na matapeli. Hiyo biashara haiko straight, mabroker wezi na huwezi kuwashitaki wakidhurumu visenti vyako.Ni biashara halali. Tatizo hapa kwetu wajanja wengi.
Wamekuibia nini mkuuToka hapa na ujinga huo wa mabroker ushuzi!
Wezi tu hao!
Ukikua utaacha mdogo wanguHivi kuna mtanzania yupi ambaye anaweza kuja hapa kudai kwamba ametengeneza pesa ya maana tangu kuanza kuangaika na Forex? Naamini hakuna! Ndiyo maana nasema hii forex kwa Tanzania ni ushuzi tu, ata wazungu hawaangaiki na ujinga huu!