Onyo: Forex trading haina mamlaka ya usimamizi

If you want to doubt, what will stop you? I will say that you will be a fool to believe even the live calls, as they can be manipulated too. Why do you have such low bars?



Are you changing your goalposts now? Is everybody in here in Tanzania?

If I was able to take $1700 to just under $10,000, someone who started with $17 could have done the same things I did and end up with $100, and one who started with $170 could have ended up with about $1,000.

The only difference is scaling up, the fundamentals of selling/buying/profit/loss are the same.


Why do you assume new traders will be new (and presumably inexperienced) forever?



Did you even understand my argument? Did you even understand what I wrote? You are writing like you did not.

Read again. If you do not understand something, ask.

You are not addressing the point I raised.


You are not addressing the point I raised, you are merely stating the abvious for no reason.


How do you know this? Why do you want to assume? Why not let people figure things out?



People are starting by using demo accounts, they have mentors here. Why are you such a party pooper?

Are they using your money?

Did they ask you for your negativity?
Al-Watan wacha muneno na kingereza kingereza kingi! The botton line hii forex trading yako unayoitetea is not fit for Tanzanians. Endelea nayo huko marekani.
Kama wewe unaishi nje una nyemelea kuja bongo kuleta ubroker wako kutufilisi masikini, basi umenoa. Sisi tutawafumbua macho watanzania kwa hii unregulated crap business. Asante sana.
 
Al-Watan wacha muneno na kingereza kingereza kingi! The botton line hii forex trading yako unayoitetea is not fit for Tanzanians. Endelea nayo huko marekani.
Kama wewe unaishi nje una nyemelea kuja bongo kuleta ubroker wako kutufilisi masikini, basi umenoa. Sisi tutawafumbua macho watanzania kwa hii unregulated crap business. Asante sana.
Tatizo hata nilichoandika hujaelewa.

Kuna mtu nishataka kumfanyia u broker hapa?

Hili umelipata wapi?

Au unaharisha maneno tu?
 
Tatizo hata nilichoandika hujaelewa.

Kuna mtu nishataka kumfanyia u broker hapa?

Hili umelipata wapi?

Au unaharisha maneno tu?
Mimi sitaki kuelewa uwongo wa forex trading, bora niwe hivihivi. Nikielewa nimekwisha! Tunakuomba husilazimishe ku mislead ndugu zetu wabongo. Kaa na FOREST trading yako mwenyewe.
 
Mimi sitaki kuelewa uwongo wa forex trading, bora niwe hivihivi. Nikielewa nimekwisha! Tunakuomba husilazimishe ku mislead ndugu zetu wabongo. Kaa na FOREST trading yako mwenyewe.
Wewe si tu huwezi kuelewa forex trading, hujui hata kusoma na kuandika.

You are semi-literate and cannot follow an argument with a coherent chain of though.

Unavyojibizana na mimi tu hapa unaonyesha hilo.

Kwa hiyo ni sawa tu ukae pembeni, uachie watakaojaribu.
 
Wewe si tu huwezi kuelewa forex trading, hujui hata kusoma na kuandika.

You are semi-literate and cannot follow an argument with a coherent chain of though.

Unavyojibizana na mimi tu hapa unaonyesha hilo.

Kwa hiyo ni sawa tu ukae pembeni, uachie watakaojaribu.
Kama sijui kusoma na kuandika, umenielewa vipi nilicho andika mpaka ukajibu majibu kulingana na nilicho andika? Mbona inaji contradict mwenyewe? Unajiona msomi kwa kuandika kingereza lakini u cant think logically nor reason. Pole sana Al-Watan!
 
Wewe si tu huwezi kuelewa forex trading, hujui hata kusoma na kuandika.

You are semi-literate and cannot follow an argument with a coherent chain of though.

Unavyojibizana na mimi tu hapa unaonyesha hilo.

Kwa hiyo ni sawa tu ukae pembeni, uachie watakaojaribu.
Following an arguments with you is a waste of time!
How can i be coherent with someone like you, completely brainwashed with forex trading?
The only way for people like you to understand is to have an incoherent and messed up arguments.
 
nielewe sijasema forex trading ni feki.ila hii ya kuita watu wakatrade ni feki katika watu mia tatu hata kumi hawatafika watakaopata hela.acheni kudanganya watu .kwanza mnahujumu uchumi.watu mia tatu kila mtu akitoa m moja ni sh ngapi hyo ?
kumbe roho ya kwanini apate yeye tu ndio imekusukuma kuandika ujinga huu
 
Kama sijui kusoma na kuandika, umenielewa vipi nilicho andika mpaka ukajibu majibu kulingana na nilicho andika? Mbona inaji contradict mwenyewe? Unajiona msomi kwa kuandika kingereza lakini u cant think logically nor reason. Pole sana Al-Watan!
Hujui kusoma na kuandika ndiyo maana huelewi maana ya "semi-literate".

Look it up.
 
Following an arguments with you is a waste of time!
How can i be coherent with someone like you, completely brainwashed with forex trading?
The only way for people like you to understand is to have an incoherent and messed up arguments.
Then you surely like to waste your time.

You have been engaging me thoroughly here.
 
Hiyo siyo biashara, ni kamali sawa na pata potea. Risk level yake ni extremely high. Husipotoshe watanzani mjomba!
Sasa umelazimishwa kwenda mbona unabet atusemi, acha wivu wa kike, na chuki binafsi, na atoboa sijui utalala nje, bwahahahaha
 
Sina hakika kama wanafanya hivyo.. Na kama wanafanya that is interbank trading na lazima kuna insurance ya ku cover losses wakizipata..

Just imagine banks wanaajiri Treusurers ambao ni First Class Students waliobobea kwenye Finance tena kwenye vyuo ambavyo wao wanaviamini. Kama hiyo forex trading ingekuwa rahisi basi hesabu kwa pesa zilizopo bank na umahiri wa wafanyakazi wake hakuna bank ambayo ingepata hasara au faida kiduchu, banks have alot of money boss, instead ya kufanya gambling na pesa za watu it's safe ununue bonds tu ambazo ni faida nyepesi, ni afadhali ukopeshe kwa collateral hata deni lisipolipika kuna njia za kufata hasara.

Sasa bank zikacheze hiyo michezo wakipigwa hasara wakarudishe wapi hiyo pesa? Ndio maana nimekwambia kama wanafanya hivyo vitu basi ni biashara ya siri ya ndani na BOT wakishtukia hiyo bank itafungiwa mara moja..
Kwahiyo unataka kusema bank hazifanyi biashara ya kuuza na kununua fedha za kigeni???

Kumbe wapumbavu wapo wengi eeeh!!!!
 
Sasa umelazimishwa kwenda mbona unabet atusemi, acha wivu wa kike, na chuki binafsi, na atoboa sijui utalala nje, bwahahahaha
Tatizo baadhi ya wabongo kama nyinyi hampendi watu kutoa mawazo na mitazamo yao. Tukiwaambia ukweli mnatutukana, kutuzushia uwongo au kututishia amani!
Eti wivu wa kike! Nikuone wivu au chuki nakujua wewe? Ndiyo maana wengi mmeharibikiwa sababu ya uwezo mdogo wa kufikiri.
 
Kwahiyo unataka kusema bank hazifanyi biashara ya kuuza na kununua fedha za kigeni???

Kumbe wapumbavu wapo wengi eeeh!!!!
Benki inafanya biashara ya kuuza na kununua foreign currency, lakini si kwa kufanana na forex trading. Mpumbavu utakuwa wewe maana uelewi hilo!!
 
Nauwakika hao wote wanaopiga kelele,wanaufahamu mdogo sana,hata wameshindwa kugoogle kusoma kuhusu fx??au ndiyo hawawezi hata kukaa chini dakika chache kusoma kujua kinachozungumziwa??poor us Tanzanian,

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mengine you dont need to google as if Google is always correct!
Mambo mengini ni kufikiri logically and come to your own conclusion. Siyo kila jambo unakimbilia google kama alitengeneza mjomba wako!
 
Back
Top Bottom