Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Irene Uwoya nae alikuwepo pia na Boardy Guard wake...
Nadhani umefika wakati sasa kufanyike kampeni za makusudi kabisa kama ilivyo kwa ukimwi na malaria kuhusu hii tabia ya wanawake wa kitanzania kujikoboa sijui ndio mkorogo. Kwa kweli wanatakiwa kuacha kabisa. Mwanamke anapoteza hata ule uhalisia wake huelewi kama ni mdori au likingago gani sijui eh!!:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
Huyu mkorogo ndio nyumbani halafu mbaya zaidi hajui hata kupaka hivyo vikorombwezo wanavyopaka wenzake sijui huwa inakuwaje yaani hawamwambii au ni nini??? Au lengo lake ni kufurahisha walionuna huko shughulini?
Huyu mkorogo ndio nyumbani halafu mbaya zaidi hajui hata kupaka hivyo vikorombwezo wanavyopaka wenzake sijui huwa inakuwaje yaani hawamwambii au ni nini??? Au lengo lake ni kufurahisha walionuna huko shughulini?
Eeh bwana eeeeeh! hakyamungu akijiona hapa atasema si yeye!:mmph:
Huyu mkorogo ndio nyumbani halafu mbaya zaidi hajui hata kupaka hivyo vikorombwezo wanavyopaka wenzake sijui huwa inakuwaje yaani hawamwambii au ni nini??? Au lengo lake ni kufurahisha walionuna huko shughulini?
Huyu anapata advice ya mkorogo kutoka kwa Mai wa Jesse hatari tupu.. ila naona wimbi la mkorogo linatupeleka kubaya