Onyesho la Ferre Gorra Katika PICHA

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
734
f9.jpg
f10.jpg
f11.jpg
f14.jpg
f13.jpg
f2.jpg
 
no big deal, just i see the work done by 'carolite' on d bodies of those fat women
 
NAONA KILA SIKU NGOZI ZETU ZA ASILI ZINAZIDI KUPOTEA.
asante kwa matukio mfukunyuzi ..mbona sikaoni kale katokto ka ki-congo kanakotoa burudani safi ya muziki?
 
Huyo mwenye nanihii nyeupe ni Dotinata? naona amezidi kujichubua
 
Picha ya kwanza!mbona sidiria ya ziwa lake la kulia imeshuka na kuanza kumwaga radhi!!tunaweza jua ni kwa nini wadau?
Picha ya sita kama mzee wa bar maarufu pale magomeni nae alikuwepo vile.........
 
Nadhani umefika wakati sasa kufanyike kampeni za makusudi kabisa kama ilivyo kwa ukimwi na malaria kuhusu hii tabia ya wanawake wa kitanzania kujikoboa sijui ndio mkorogo. Kwa kweli wanatakiwa kuacha kabisa. Mwanamke anapoteza hata ule uhalisia wake huelewi kama ni mdori au likingago gani sijui eh!!:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
 
Nadhani umefika wakati sasa kufanyike kampeni za makusudi kabisa kama ilivyo kwa ukimwi na malaria kuhusu hii tabia ya wanawake wa kitanzania kujikoboa sijui ndio mkorogo. Kwa kweli wanatakiwa kuacha kabisa. Mwanamke anapoteza hata ule uhalisia wake huelewi kama ni mdori au likingago gani sijui eh!!:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:

_MG_8560.jpg


Huyu mkorogo ndio nyumbani halafu mbaya zaidi hajui hata kupaka hivyo vikorombwezo wanavyopaka wenzake sijui huwa inakuwaje yaani hawamwambii au ni nini??? Au lengo lake ni kufurahisha walionuna huko shughulini?
 
_MG_8560.jpg


Huyu mkorogo ndio nyumbani halafu mbaya zaidi hajui hata kupaka hivyo vikorombwezo wanavyopaka wenzake sijui huwa inakuwaje yaani hawamwambii au ni nini??? Au lengo lake ni kufurahisha walionuna huko shughulini?

HUYU nae vp?? kama MSUKULE!
 
_MG_8560.jpg


Huyu mkorogo ndio nyumbani halafu mbaya zaidi hajui hata kupaka hivyo vikorombwezo wanavyopaka wenzake sijui huwa inakuwaje yaani hawamwambii au ni nini??? Au lengo lake ni kufurahisha walionuna huko shughulini?


Eeh bwana eeeeeh! hakyamungu akijiona hapa atasema si yeye!:mmph:
 
_MG_8560.jpg


Huyu mkorogo ndio nyumbani halafu mbaya zaidi hajui hata kupaka hivyo vikorombwezo wanavyopaka wenzake sijui huwa inakuwaje yaani hawamwambii au ni nini??? Au lengo lake ni kufurahisha walionuna huko shughulini?

Huyu anapata advice ya mkorogo kutoka kwa Mai wa Jesse hatari tupu.. ila naona wimbi la mkorogo linatupeleka kubaya
 
Huyu anapata advice ya mkorogo kutoka kwa Mai wa Jesse hatari tupu.. ila naona wimbi la mkorogo linatupeleka kubaya

Lakini Firstlady1 hebu mlinganishe na mwenzake Mai anajikoboa lakini atleast anajua kutumia makeup inavyotakiwa angalau hachekeshi walionuna!!!
 
Back
Top Bottom