Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,471
- 6,371
Tunatumiaga maziwa kupozesha ila kuna siku maziwa yatakosekana halafu unakuwa msala mkubwaUmeogopa eeh, mke wa mtu ni sumu ujue
Tunatumiaga maziwa kupozesha ila kuna siku maziwa yatakosekana halafu unakuwa msala mkubwaUmeogopa eeh, mke wa mtu ni sumu ujue
Ni kweli ila ili kuepusha siku maziwa kukosekana bora utafute mtoto mbichi asiye mke wa mtu tu mbona wengi tu.Tunatumiaga maziwa kupozesha ila kuna siku maziwa yatakosekana halafu unakuwa msala mkubwa
Umenifurahisha mkuu😜financial services unanicheka
Sa Kobe Brayant kaingiaje hapo?🤔🤔 huku umesema huko sikuli hao Basketballer ulikua unawazimikia si Umutaje tu huyo uliewahi kumtunuku Tunda aliekua anacheza Basket😂😂Jf noma, wote humu ni Ma T.O , handsome , basketballers,hamna hata mmoja aliyekua kichwa panzi kama siye😂😂. Heshima kwenu Basketballers wote maana nilikua nawazimikia sana. R.I.P Kobe Bryant.
Mmmh! Watoto wabichi sio kama hatuwataki ila wana manjegeka mengi. Mara hataki hiki, mara anataka hiki coz wengine shida kwenye mapenzi hatupendiNi kweli ila ili kuepusha siku maziwa kukosekana bora utafute mtoto mbichi asiye mke wa mtu tu mbona wengi tu.
Dah huu ni ukorofii tu😂 basi nawapenda basketballers kama Kobe vile nk. Hapo vipi?Sa Kobe Brayant kaingiaje hapo?🤔🤔 huku umesema huko sikuli hao Basketballer ulikua unawazimikia si Umutaje tu huyo uliewahi kumtunuku Tunda aliekua anacheza Basket😂😂
Si wote bana kuna walio vizuri tu inamaana hujawahi kubahatisha hata 1? Au wote mnaleteana hayo majegeka?🤔Mmmh! Watoto wabichi sio kama hatuwataki ila wana manjegeka mengi. Mara hataki hiki, mara anataka hiki coz wengine shida kwenye mapenzi hatupendi
Sema hapo kwenye ubasketballer, ningesoma shule moja na ww, basi ningekula hilo tunda kizembe sanaUmenifurahisha mkuu😜
Ooh nawewe ni mmoja wao? Ok ila si kizembe hivo mkuu usingeamini macho yako. Napenda vile mnachezaga tu na mlivo tallest basi si vinginevyo😂Sema hapo kwenye ubasketballer, ningesoma shule moja na ww, basi ningekula hilo tunda kizembe sana
☕Ebana eeh umenikumbusha mbali ... Totozi zilikuwa zinanizimia kinoma maana kwanza nilikuwa smart sio kitoto halafu nilikuwa niko vizuri kuongea kimombo maana shule ya msingi nilisoma shule nzuri japo nilikuwa nanga ila nilipoenda secondary za kawaida na mimi nikaonekana the best hasa kweye kuongea kimombo na hata darasani nilikuwa naburuza sana nafasi za juu. Midahalo ya shule na debates nilikuwa naitwa hata kama naumwa.
Niliopofika kidato cha pili tu nikagombea kuwa HP nikapita kwa kishindo nikawakalisha form three mpaka form four. Nakumbuka miaka hiyo ndio simu zimeanza kuwa nyingi mimi nilikuwa na simu aina ya Nokia alinipaga kaka yangu nilivyoingia tu form two kwa ufaulu aloniahidi sasa pale shule ilikuwa mimi na second Master tu ndio tulikuwa na simu. Watoto wote full kunifata mpaka home wanaonba kubeep wapendwa wao
Headmaster nae mwanzoni kabisa hakuwa na simu alikuwa angongea kwangu pamoja na Maticha mademu wote aisee nilikwa maarufu, Nilikula mpaka walimu wangu wawili mmoja alikuwa mwalimu wa kujitolea na mwingine mwajiriwa kabisa nilkula sana mpaka wakajuana ikawa kesi mpaka kwa Head Master akajua. Uzuri headmaster alikuwa ananiamini na alikuwa rafiki yangu balaa akanambia tu kirafiki.
Mambo yalikuwa mengi mno by the way teacher mmoja mpaka leo ni pumziko langu nikiendaga home likizo anipa mbususu bila kinyongo japo now kazView attachment 1982169
alislihwa watoto wawili. Hongera kwako Madam B.
Mkuu unaitafuta vita ya 4 ya dunia na mimi😂 acha ukorofiiiInsigne fanya ulale usije Vunja Ndoa ya watu usiku huu😂😂😂
Naendelea kutafuta sample mbalimbali, Nategemea Kubahatisha mtt mmoja aliethibitishwa na shirika la viwangoSi wote bana kuna walio vizuri tu inamaana hujawahi kubahatisha hata 1? Au wote mnaleteana hayo majegeka?🤔
Vita ya 3 ilikuwa liniMkuu unaitafuta vita ya 4 ya dunia na mimi😂 acha ukorofiii
Sema haina noma ngoja PM, hapa wachawi wengi coz lolote linaweza kutokeaOoh nawewe ni mmoja wao? Ok ila si kizembe hivo mkuu usingeamini macho yako. Napenda vile mnachezaga tu na mlivo tallest basi si vinginevyo😂