Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 87
Mwee kwa kweli tanzania kibokooooo...yaani mtu wa ofisini hawezikukusaidia mpaka umpe hongo....
here is the thing right...Nimeenda vizazi na viso nataka wabadilishe something something kwenye birth certificate yangu..nafika reception nakutana na demu..nikamsalimia hello!..akaniambia nataka nini nikamwambia nimkusalimia kwanza....akasema ok shida yako ni nini?nikasema dang whats up with the atitutde?!....then badala ya kunisaidia akaniambia kuwa..since hiyo birth certificvate yangu ilishakuwa issued hawawezi change anything...nikamwambia let me talk to your manager akasema hayupo nikamwambia i will wait...akaniona sturbon...nikamwambia it's not the fact that nipo sturbon ila ni haki yangu you know..upo hapa kusaidia watu kama sisi...akaniambia pandisha juu enda huku kata kule direction hazina kichwa wala mguu...yaani hajamaliza akasema next.....
ok nikajaribu fuata hizo direction nikawa napotea nikamkuka mkaka nikamuuliza akaniambia ooh panda ngazi nenda juu...nikafika kule nikakutana na demu mwingine tukarudi kule kule tena....nikamwambia matter of fact nataka kuongea na manager...akaniambia mlango ule pale nenda...nikaenda nakutana na baba mmoja ana kitambi hivi nikampa salaam yake then nikamueleza situation kutoka huko chini akacheka kwanza alafu akaniambia how long have you been away nikamuuliza unamaana gani akasema unaonekana hujui taratibu....kisa nitoe hongo nikasema taratibu ni nimezifuata sijui unachoongea akasema Naniliu ya chai mweeh wakati ni haki yangu kweli kweli is this fair?...hahahahaha kusema kweli i laughed at him not with him.....then akaniambia ok njoo kesho kesho imekuwa kesho hadi...nimeshachoka at the end ikabidi tuu nitoe hiyo hongo mweee only in Tanzania......
here is the thing right...Nimeenda vizazi na viso nataka wabadilishe something something kwenye birth certificate yangu..nafika reception nakutana na demu..nikamsalimia hello!..akaniambia nataka nini nikamwambia nimkusalimia kwanza....akasema ok shida yako ni nini?nikasema dang whats up with the atitutde?!....then badala ya kunisaidia akaniambia kuwa..since hiyo birth certificvate yangu ilishakuwa issued hawawezi change anything...nikamwambia let me talk to your manager akasema hayupo nikamwambia i will wait...akaniona sturbon...nikamwambia it's not the fact that nipo sturbon ila ni haki yangu you know..upo hapa kusaidia watu kama sisi...akaniambia pandisha juu enda huku kata kule direction hazina kichwa wala mguu...yaani hajamaliza akasema next.....
ok nikajaribu fuata hizo direction nikawa napotea nikamkuka mkaka nikamuuliza akaniambia ooh panda ngazi nenda juu...nikafika kule nikakutana na demu mwingine tukarudi kule kule tena....nikamwambia matter of fact nataka kuongea na manager...akaniambia mlango ule pale nenda...nikaenda nakutana na baba mmoja ana kitambi hivi nikampa salaam yake then nikamueleza situation kutoka huko chini akacheka kwanza alafu akaniambia how long have you been away nikamuuliza unamaana gani akasema unaonekana hujui taratibu....kisa nitoe hongo nikasema taratibu ni nimezifuata sijui unachoongea akasema Naniliu ya chai mweeh wakati ni haki yangu kweli kweli is this fair?...hahahahaha kusema kweli i laughed at him not with him.....then akaniambia ok njoo kesho kesho imekuwa kesho hadi...nimeshachoka at the end ikabidi tuu nitoe hiyo hongo mweee only in Tanzania......
Last edited: