RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,835
Kama kawaida mabingwa wa kupotosha.Katika kile ambacho tunaweza kukiita Addiction ya Magufuli, manusra mmoja wa ajali ya basi la Majinja iliyotokea leo ameishukuru Serikali ya awamu ya tano ya Rais Magufuli na jeshi la Polisi kwa kupona kwenye ajali.
Nadhani tunahitaji elimu ya kutenganisha utendaji wa Serikali na mambo mengine. Itafika kipindi hata ukimtia mimba mkeo unaishukuru Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli
Halafu ana lafudhi kama ya ndugu zake zumbemkuu na Chakaza
View attachment 1255024