Haiitaji u genius kujibu that kids qn.
Unanikumbusha nasawal ya kilo ya pamba vs kilo ya kokoto
Soma mstari wote huo wacha kiherehere.
Huwezi kuandika "a simply", grammatically haiji.
You are wrong and FF is also wrong because you did nota ask any question. "What is the name of the ship" is just a statement, hence there is no need to provide an answer.You are correct!
Hakuna swali liliulizwa kwenye bandiko!!!Hilo ndiyo jibu ya swali lililoulizwa. Malizia kuusoma uzi utaelewa.
Atuoneshe alama ya kuulizaHakuna swali liliulizwa kwenye bandiko!!!
kwa uelewa wangu hizi sentensi
zinataka utaje jina la meli
Grammatically say: what is the ship's name?Nilikuwa sijamaliza jibu nikabofya send kwa bahati mbaya. Nilitaka kuandika The ship's name is What.
Grammatically say: what is the ship's name?
Hakuna swali liliulizwa kwenye bandiko!!!
I'm one of the unique few in this worldThe last sentence "What is the name of the ship" is not a question but a statement, it has no question mark.
Remember kid, I am one of the unique few in this world.
Nimekwisha kujibu kwamba sentensi ya mwisho inaondolewa uhalali wa swali na sentensi uliyojibu kuwa jina ni 'What'.Kasome sentensi ya mwisho urudi kusema inasema nini.
Nimekwisha kujibu kwamba sentensi ya mwisho inaondolewa uhalali wa swali na sentensi uliyojibu kuwa jina ni 'What'.
Huo ndio mtihani wa maswali ya IQ, yabidi usome "instructions" kwa umakini. Hivyo hakuna swali na hivyo hakuna jibu. Ni sawa na mtu unamwona halafu unamwuliza kama yeye ni mwanaume au mwanamke!
Swali sio lazima liwe na alama ya kuuliza????? Hii mpyaYou are totally wrong.
Swali si lazima liwe na alama ya kuuliza.
Swali limeshajibiwa hizo zingine ni porojo tu.
Ahsante!Nimekwelewa vizur sana hiyo sio figurative language useme mpaka urudie maranyingi. Shida ujuaji plus sifa times ushamba vinakwandama. So I took it personal wareva case it might be
Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
Teh teh teh teh teh teh..... Nimefurahi kuriona neno "Kiherehere" limenikumbusha enzi zile za movie za kihindi, mara nyingi kulikuwa na mpambe wa boss (kubwa la maadui) ambaye kwatu sisi (mimi na watoto wenzangu) mtu huyu tulikuwa tunamwita KIHEREHERE. Sina hakika kama na wengine walikuwa wanamwita hivyo.Soma mstari wote huo wacha kiherehere.
Huwezi kuandika "a simply", grammatically haiji.
Teh teh teh teh teh teh..... Nimefurahi kuriona neno "Kiherehere" limenikumbusha enzi zile za movie za kihindi, mara nyingi kulikuwa na mpambe wa boss (kubwa la maadui) ambaye kwatu sisi (mimi na watoto wenzangu) mtu huyu tulikuwa tunamwita KIHEREHERE. Sina hakika kama na wengine walikuwa wanamwita hivyo.
Nikirudi kwenye mada, mpangilio wa maneno (words order) katika sentensi haufatwi kwa sababu ya kusoma sentensi za nyumba, bali wazo (concept) ya sentensi ya mbele itategemea wazo la sentensi ya nyuma.
Pia, ulitumia alama "coma" ukiashilia kuwa kufungu hicho cha maneno ni sentensi kamili. Hivyo kilipaswa kujungwa kwa ukamilifu bila kujali sentesi za nyuma sababu kichoangaliwa hapa kama kosa ni mpangilo wa maneno na sio wazo (concept).