lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,214
- 28,133
Kumbe ndio hivi??Umesha convert [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii hatari kweli kweli
Wewe mmojawapo wa watumiaji wa hiyo app.
Kumbe ndio hivi??Umesha convert [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii hatari kweli kweli
Wewe mmojawapo wa watumiaji wa hiyo app.
IPO kichwani mwake tena huenda ame iupdate[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe mmojawapo wa watumiaji wa hiyo app.
Ipo vichwani mwa watu kaka.Mkuu,hiyo app unayoitumia umeipata wapi?
Mbona stores zote za app sijaipata?
Makada wameshaanza kushikana uchawi..DC sijui kama atabaki kwa officeTar 23 cjui kura zitatosha kwa JPM??? Naona kama hali teteee...
Ndio ivo mtu kubadili mada ya msingi kuwa ya kisiasa hata kama mazingira au mada haihusiani. Mtu atafanya jui chini iwe ya kisiasaKumbe ndio hivi??
Tar 23 cjui kura zitatosha kwa JPM??? Naona kama hali teteee...
Nchi hii tunajikongoja sanaWanaofanya hivo sikwamba wanafanya kwa bahati mbaya bali ni makusudi tu ili mradi tu avuruge, hata nje nako ni hivohivo kwan we usikii kila mara et mkutano flan hautokuwepo kwa sababu za kiintelijensia, ukiwabana sana mara oooh ni amri kutoka juu, mwishowe unashindwa kuelewa hawa wanatumia akiri gani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]"Online Post Converter" in action! ..hahahaaa!