Online membership registration CHADEMA

Online membership registration CHADEMA

Wazo lako FUSO liko kitechnology zaidi na mie nimelizimikia yaani liko poa sana...sasa kama mitandao mingi inaishobokea magamba hapo am afraid kidogo watachakachua tu hawa magamba....mitandao yetu yote haina uthubutu mkuu....
 
Hahahahahahahaaaaaaaaaha, tutajiandikisha kwa wingi sana mpaka hesabu ziwe zaidi ya wananchi wa TZ, siku ya kura mnajiuliza, ilikuwaje? tunawachama millioni 50 lakini waliotupigia kura elfu 50.

Mkianzisha mimi wa kwanza kujiandikisha mara x1,000,000
 
Tunashukuru na kuwa member mbunifu kama wewe ,NAOMBA UONGOZI WA JUU WA CHAMA, UFANYIE KAZI WAZO HILI! huyu mwana ccm asiwatishe , tutatoa security code system, kwa watu watakaojiandikisha and maximum encryption protocal, hata wazee wa kuhac watachemsha!
 
itakuwa powa,ila jamani tuendelee kuhimiza ushiriki wa hili kundi lililo nje ya teknolojia na upatikanaji wa habari kwa wakati maana
hawa ndo kundi lengwa la hawa MAGAMBA kama sehemu za mijini kama dar kuna raia bado wanaona soo kujitangaza wazi wazi kuwa ni wafuasi wa CDM
kwa hofu ya kubaguguliwa ktk huduma za jamii mitaani je hali iko je maeneo kama SEGESE kahama au Kaliua Tabora ? mapambano
yanapaswa kuendelea kwa kasi ile ile ya nguvu ya umma hadi kieleweke.
 
Hahahahahahahaaaaaaaaaha, tutajiandikisha kwa wingi sana mpaka hesabu ziwe zaidi ya wananchi wa TZ, siku ya kura mnajiuliza, ilikuwaje? tunawachama millioni 50 lakini waliotupigia kura elfu 50.Mkianzisha mimi wa kwanza kujiandikisha mara x1,000,000
tumia akili wewe, huoni kuwa utakuwa umeichangia cdm kimapato? Au wewe unafikiri utaregista bure bila kiingilio? Magamba bwana full kukurupuka tu.
 
tumia akili wewe, huoni kuwa utakuwa umeichangia cdm kimapato? Au wewe unafikiri utaregista bure bila kiingilio? Magamba bwana full kukurupuka tu.

Hivi kuingia cdm kwa fedha? khaaa, unanshangaza, wakuu huko kodi hawalipi halafu fedha yetu tunayoilipia kodi tuingilie uanachama? ama kweli mkuu pale ni mchaga wa nguvu.
 
Aaah mi nimeingia humu kwa speed nijisajili kumbe ni wazo, basi wafanye fasta.
 
Hahahahahahahaaaaaaaaaha, tutajiandikisha kwa wingi sana mpaka hesabu ziwe zaidi ya wananchi wa TZ, siku ya kura mnajiuliza, ilikuwaje? tunawachama millioni 50 lakini waliotupigia kura elfu 50.Mkianzisha mimi wa kwanza kujiandikisha mara x1,000,000
Hujielewi
 
tukiinama pamoja tutainuka pamoja!!!!!!!!!! BRAVOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hahahahahahahaaaaaaaaaha, tutajiandikisha kwa wingi sana mpaka hesabu ziwe zaidi ya wananchi wa TZ, siku ya kura mnajiuliza, ilikuwaje? tunawachama millioni 50 lakini waliotupigia kura elfu 50.

Mkianzisha mimi wa kwanza kujiandikisha mara x1,000,000

kumbe hata humu umejiandikisha mara hizo hesabu hapo juu?
 
samahani, kwa tabata bima ofisi za CHADEMA zipo sehemu gani?
 
Hahahahahahahaaaaaaaaaha, tutajiandikisha kwa wingi sana mpaka hesabu ziwe zaidi ya wananchi wa TZ, siku ya kura mnajiuliza, ilikuwaje? tunawachama millioni 50 lakini waliotupigia kura elfu 50.

Mkianzisha mimi wa kwanza kujiandikisha mara x1,000,000
Hii akili au matope?
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Hivi kuingia cdm kwa fedha? khaaa, unanshangaza, wakuu huko kodi hawalipi halafu fedha yetu tunayoilipia kodi tuingilie uanachama? ama kweli mkuu pale ni mchaga wa nguvu.
"siku zako " zinakusumbua ww unakurupuka tu
 
Ni wazo zuri sana!! Na sisi wa PPT - Maendeleo ni vyema tukaiga wazo hili.
 
Back
Top Bottom