Online membership registration CHADEMA

Wazo hili ni zuri sana. Lilishajadiliwa nakumbuka kwenye vikao vya baraza kuu. Tatizo lake ni kwamba, CCM walihujuma the whole Plan. Lengo ilikuwa ni watu kujiunga na chadema kwa njia ya meseji ya simu na kuituma kwenye one center number.

Njia hii pamoja na ile ya kuichangia chadema kwa njia za simu zinahujumiwa sana na CCM. That is a challenge.
However, Mimi si mtu wa IT kwa hiyo sijui kuhusu njia hii mpya kama inaweza kuhimili hujuma za CCM.
 
Wazo hili ni zuri sana. Lilishajadiliwa nakumbuka kwenye vikao vya baraza kuu. Tatizo lake ni kwamba, CCM walihujuma the whole Plan. Lengo ilikuwa ni watu kujiunga na chadema kwa njia ya meseji ya simu na kuituma kwenye one center number.

Njia hii pamoja na ile ya kuichangia chadema kwa njia za simu zinahujumiwa sana na CCM. That is a challenge.
However, Mimi si mtu wa IT kwa hiyo sijui kuhusu njia hii mpya kama inaweza kuhimili hujuma za CCM.

mkuu .... gharama inatakiwa itumike hapa .... hii ni pamoja na kuwa na wazo la kuwa na a different web based tool for online registration apart from the basic website ya CHADEMA .... pia pawe na fikira ya ku outsource hii special web based online registration tool kwa kampuni ya nje ya nchi ambayo itakuwa na server yake huko nje hii itasaidia ku avoid conspiracy za nape na chiligati
 
Hahahahahahahaaaaaaaaaha, tutajiandikisha kwa wingi sana mpaka hesabu ziwe zaidi ya wananchi wa TZ, siku ya kura mnajiuliza, ilikuwaje? tunawachama millioni 50 lakini waliotupigia kura elfu 50.Mkianzisha mimi wa kwanza kujiandikisha mara x1,000,000
.
Hivi kuingia cdm kwa fedha? khaaa, unanshangaza, wakuu huko kodi hawalipi halafu fedha yetu tunayoilipia kodi tuingilie uanachama? ama kweli mkuu pale ni mchaga wa nguvu.
.
Kwetu kijijini hawana net. Hawajui net. Mtaengeza huko huko arusha na moshi
. Wana Cdm kama mwangalizo haya magamba tukiwa 2naongelea mambo yenye maslahi ya chama 2we tunayapuuza tu bila kuya reply,niliona post kule kwenye complaints kua huwa yanalipwa buku mbili kwa siku na Magamba original ili yakikuta mada kama hizi za maslahi ya CDM yazivuruge tuyadiscuss yenyewe badala ya mada husika mwisho post inakosa mvuto inapotezewa! Kuhusu idea it's the best! Ila CDM wana web yao sema haiko updated mara kwa mara,wafanye modification 2 afu watupie public,JF iwe ya kwanza kupata taarifa though,and we will all spread the good newz to all. ALUTA CONTINUA!
 
  • Thanks
Reactions: LAT
wakuu, bado nawakumbusha mlioko karibu na CDM, Tumaini Makene naomba unifikishie wazo hili katika ofisi ya Katibu mkuu sababu nimepata support kubwa sana hapa JF. Tunahitaji online Regestration ili CDM iende ki-digitali.

CC - Mbunge wangu Mh. John Mnyika.
 
Hoja hii inatakiwa kufanyiwa kazi badala ya kusingizia hujuma za ccm.

Chadema sio chama kidogo, kinapofikiria kushika dola lazima kujua kuna changamoto zake. Intelijensia ya chama lazima ifumuliwe na kuweka watu wenye mapenzi na weledi wa kutosha.
 
Hahahahahahahaaaaaaaaaha, tutajiandikisha kwa wingi sana mpaka hesabu ziwe zaidi ya wananchi wa TZ, siku ya kura mnajiuliza, ilikuwaje? tunawachama millioni 50 lakini waliotupigia kura elfu 50.

Mkianzisha mimi wa kwanza kujiandikisha mara x1,000,000

Du!
FaizaFoxy kala BAN,hadi Id imekuwa JF-BAN1!!!
Ni balaa!
 
Last edited by a moderator:
Labda tena niweke sawa kuwa unapo register online, lazima unajaza details zako, hii ni pamoja na genuine ID yako ambayo System itaitambua ili kumalizia registration.

Kwa mfano: ukisha jaza makazi yako, let say "SINZA C" pale pale system itakupa details za tawi lako lilipo, viongozi wako nk. na baada tu ya malipo ambayo ndiyo itakuwa section ya mwisho basi update itatumwa moja kwa moja kwenye tawi lako kuonyesha wewe ni active member, registration itakamilika baada tu ya kulipia membership yako.

Its a bit advanced lakini hii ni njia rahisi sana ya ukusanyaji michango kwa watu wa mijini, kupata updates za vikao vya chama kwenye tawi husika via emails or sms.

Both Online and Tradition methods can run parallel - in doing so you can reconcile the two and have a single database showing all active member countrywide, for planning and other statistical activities….


 
Brilliant idea,ningependa kutilia mkazo katika mambo fulani uliyoainisha

1.Softcopy membership ni sawa baada ya kufanya malipo,lakini ingekuwa vyema zaidi kama huyo aliyelipia angetumiwa Hardcopy membership card kwa kutumia posta,hii ingesaidia kuleta uniformity kwa watu wote,wa mjini na kijijini,maana softcopy peke yake haijitoshelezi.
2.Sidhani kama Voda/tigopesa/ezzypesa/airtel money zinatosha,ili kusaidia wengine wengi,ingekuwa vyema kuiingiza katika mitandao mingine ya kifedha kama paypal,wester union,moneygram na kadhalika ili wa nje pia wanufaike na huduma hiyo.


Naunga hoja mia ya mia.Naomba Mungu hili lifanikiwe
 
Hii kitu muhimu,nadhani chama kiwe na idara ya ICT ili kuplan strategy mbalimbali online ikiwemo hiyo registration,matangazo,fund raisings na campaign
Yes, they can have a SHAREPOINTsite where CDM registered members log into get information and other activities as you highlighted.

SharePoint can have contents like
a) show active members b) online registrations c) News letters d) Policies and procedures e) Strategies (Long and short plan)
f) Branches with its leadership g) fund rising h) Discussions panel etc.

It's all possible if you utilize ICT effectively to make your life easier.

maana ya SHAREPOINT.

"SharePoint is at its core, a framework, a platform for your organization to make it into whatever it needs. It can run quite successfully out of the box, assuming it meets the business requirements. Otherwise, customization can occur to make it do anything you want."

kwa maneno mengine ni sehemu (baraza) mnakutana wote kwa pamoja kujadili na kufanya chochote mlichokubaliana, ikiwezekana hata mkutano "net meeting" anayeingia lazima awe na ID maalum ili system imtambue.
 
Wazo hili ni zuri sana. Lilishajadiliwa nakumbuka kwenye vikao vya baraza kuu. Tatizo lake ni kwamba, CCM walihujuma the whole Plan. Lengo ilikuwa ni watu kujiunga na chadema kwa njia ya meseji ya simu na kuituma kwenye one center number.

Njia hii pamoja na ile ya kuichangia chadema kwa njia za simu zinahujumiwa sana na CCM. That is a challenge.
However, Mimi si mtu wa IT kwa hiyo sijui kuhusu njia hii mpya kama inaweza kuhimili hujuma za CCM.
Hii njia haifai kabisa, kadi ziko njenje tu, kama mtu hataki abaki kuwa mshabiki. Aibu sana kama unaipenda CDM halafu unaona aibu na uvivu kufuta kadi, nadhani hata kura utaona aibu kupiga.
 
Hii njia haifai kabisa, kadi ziko njenje tu, kama mtu hataki abaki kuwa mshabiki. Aibu sana kama unaipenda CDM halafu unaona aibu na uvivu kufuta kadi, nadhani hata kura utaona aibu kupiga.
technology inabadilika mkuu, hata kama utakataa njia hii leo lakini utaikuta mbele ya safari, kuna vitu kama e-commerce havikwepeki, techonogy is moving very fast, kuna siku utafanya shopping ukiwa nyumbani kwako, unalipa online na vitu vinaletwa baada ya muda. kuna siku hutatumia cash kufanya transaction yoyote hili limeanza na linakuja kwa kasi ya ajabu.

e-commerce, is a type of industry where buying and selling of product or service is conducted over electronic systems such as the Internet and other computer networks
 
CDM walishafikia mbali sana....kwenye mpango mzima ila "wapinzani" wao wakahakikisha mpango mzima haufanikiwi kwa vyovyote,liwalo na liwe..idea na mpango ukafia hewani!
 
Nakumbuka ile ya sms airtel,voda walipigwa mkwara mzito na govt ya ccm balaa,ila hii ya web hawana ujanja kama vile wasivyoitaka kabisa jf
 
Back
Top Bottom