Appuch mm, huwa najickia rrraah xana ninapouona uwezo wa mwanamke ktk kujieleza kwa hoja chanya kadri ya upeo wake. Ni kwa sababu wasioweza kujieleza pia hawawezi kuhoji na ndo watakandamizwa na kudhulumiwa. Khantwe amefanya kwa uwezo wake.
Kupenda kunaanza kwa kuona, kusikia afu kutenda. Ni lazma muonane, kam umemtamani(una hisia naye) nilazm mkapime ngoma(kama mnajua faida ya kupima). Ni lazma muelezane dira yenu ni ipi, mkishaisoma dira yenu...ni vema mgegedane, mzungumze kuhusu mimba na mfanye kitendo cha kutega mimba, mimba ikisomeka muoane kuyaenzi mapnz yenu kwa kulivaa taji la ndoa.
Napenda ivvo mm. Habari ya kufukua the past, hutapata ukweli. Mabaya watu hufanya kwa siri. Anzia hapo ulipomuona na ukavutiwa naye. Nataka mimba, ndoa ifuate coz hiki ni kzaz cha mchina...Wakiwa shule, wadada wameshusha injini adi nati zimekufa tread, akshka mimb inachoropoka tu. Tunafanya ivo tusijeanza kumsaka kalumanzira kuhusu mimba...kumbe mdada hana kizaz(kauza) NI IVVO TU.