Sango Ochwera
Member
- Mar 20, 2013
- 98
- 26
Katika kile kinachoonekana kuwa ni kiburi cha Pesa na dharau kwa watu wa Rorya,mwanasiasa uchwara na kada wa Chama cha Mapinduzi wilayani Rorya Ongujo wa Kibara amesema kuwa Rorya ina majogoo watatu tu ambao ni yeye mwenyewe,Lameck Airo na Charles Ochelle na hivyo wengine wote ndani ya Rorya ni majike.
Ongujo alitoa kauli hiyo katika harambee ya kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya msingi Raranya.
Ongujo alitoa kauli hiyo katika harambee ya kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya msingi Raranya.