Ongezeko la idadi ya Watu katika Mji wa Kahama linatisha!

alexelias

JF-Expert Member
Sep 1, 2017
2,032
3,198
Nipo Kahama hapa Mjini lakini ongezeko la Watu ndani ya Mji huo linatisha!

Nimekuwa nikitembelea Wilaya hiyo kila mara ajabu kila nijapo huwa nakuta ongezeko la Watu.Na hata sasa hali ni hiyo.

Nimejiridhisha pasi na shaka Mji huo unastahiki kabisa kuwa Manispaa lakini sielewi Mamlaka husika zinakwama wapi kuupandisha hadhi Mji huo.

Jambo la pili,ongezeko hilo la idadi ya Watu si dalili njema huko kwingineko hasa Vijiji na Miji baadhi jirani na Kahama.Kuna uwezekano hali ni ngumu huko watokako na hali hiyo huwapelekea hao Watu kukimbilia Kahama Mjini wakidhani hali pengine itakuwa nafuu hasa kiuchumi mara wafikapo ndani ya Mji ule.

Katika yote ni mda mwafaka sasa kwa Mamlaka husika kuupa hadhi ya kuwa Manispaa Mji huo wa Kahama kwani kwalo unastahiki.
 
Nipo Kahama hapa Mjini lakini ongezeko la Watu ndani ya Mji huo linatisha!

Nimekuwa nikitembelea Wilaya hiyo kila mara ajabu kila nijapo huwa nakuta ongezeko la Watu.Na hata sasa hali ni hiyo.

Nimejiridhisha pasi na shaka Mji huo unastahiki kabisa kuwa Manispaa lakini sielewi Mamlaka husika zinakwama wapi kuupandisha hadhi Mji huo.

Jambo la pili,ongezeko hilo la idadi ya Watu si dalili njema huko kwingineko hasa Vijiji na Miji baadhi jirani na Kahama.Kuna uwezekano hali ni ngumu huko watokako na hali hiyo huwapelekea hao Watu kukimbilia Kahama Mjini wakidhani hali pengine itakuwa nafuu hasa kiuchumi mara wafikapo ndani ya Mji ule.

Katika yote ni mda mwafaka sasa kwa Mamlaka husika kuupa hadhi ya kuwa Manispaa Mji huo wa Kahama kwani kwalo unastahiki.
Mkuu umetumia vigezo gani ku-conclude kwamba kuna ongezeko la watu.Umefanya sampling ya population husika au vipi,hebu tutonye.
 
Hata mimi naujua vzr mji huo maana nimefanya kazi maeneo hayo kwa miaka. Kua na watu wengi siyo tatizo,ukubwa wake ukoje,pato lake hasa kwa mkulima likoje maana jamii kubwa ya watu pale wanaingia na kutoka,watu wengi unaowaona hapo Kahama wanafanya kazi Buzwagi na Kakola pamoja na migodi midogo midogo,lakini maisha yao yako hapa Mwanza,zile nyumba nyingi unazoziona pale ni watu wamejenga kuwalenga watu hao kupanga na kila week end mala nyingi watu hao hurudi makwao na kurejea tena siku za kazi,kwa uelewa wangu naona shida kubwa ni hiyo tu
Nipo Kahama hapa Mjini lakini ongezeko la Watu ndani ya Mji huo linatisha!

Nimekuwa nikitembelea Wilaya hiyo kila mara ajabu kila nijapo huwa nakuta ongezeko la Watu.Na hata sasa hali ni hiyo.

Nimejiridhisha pasi na shaka Mji huo unastahiki kabisa kuwa Manispaa lakini sielewi Mamlaka husika zinakwama wapi kuupandisha hadhi Mji huo.

Jambo la pili,ongezeko hilo la idadi ya Watu si dalili njema huko kwingineko hasa Vijiji na Miji baadhi jirani na Kahama.Kuna uwezekano hali ni ngumu huko watokako na hali hiyo huwapelekea hao Watu kukimbilia Kahama Mjini wakidhani hali pengine itakuwa nafuu hasa kiuchumi mara wafikapo ndani ya Mji ule.

Katika yote ni mda mwafaka sasa kwa Mamlaka husika kuupa hadhi ya kuwa Manispaa Mji huo wa Kahama kwani kwalo unastahiki.
 
Tuanze kuzoea tu hizi connection za barabara zinazoongezeka zinafungua access ya miji mingi kufikiwa kirahisi.

Central zones za miji mingi ambayo ilikuwa midogo ni swala la muda kufurika changamoto sasa ni kutengeneza ajira na kuvutia wawekezaji kwenye hayo maeneo maana kama miundombinu ipo.

Demography ya Tanzania inabadirika na itabadilika kadri hii miradi inavyotekelezwa ni swala la sera sahihi tu za biashara na uchumi kuna watu watashangaa hii nchi itakavyopiga hatua miaka tano sita ya baadae

Halafu unakuta mtu anapinga infrustructure projects.
 
Hadi huko bushi mnataka kuwe manispaa? Kwa mambo gani ya msingi yalitoyoko huko zaidi ya vulugu mitaani?
 
Tuanze kuzoea tu hizi connection za barabara zinazoongezeka zinafungua access ya miji mingi kufikiwa kirahisi.

Central zones za miji mingi ambayo ilikuwa midogi ni swala la muda kufurika changamoto sasa ni kutengeneza ajira na kuvutia wawekezaji kwenye hayo maeneo maana kama miundombinu ipo.

Demography ya Tanzania inabadirika na itabadilika Kaddish hii miradi inavyotekelezwa ni swala la sera sahihi tu za biashara na uchumi kuna watu watashangaa hii nchi itakavyopiga hatua miaka tano sita ya baadae

Halafu unakuta mtu anapinga infrustructure projects.
Sgr haitakufanya upige hatua yoyote wewe mtu wa kanda pendwa,someni mtaishia kuwa manamba na kuitwa wanyonge
 
Nipo Kahama hapa Mjini lakini ongezeko la Watu ndani ya Mji huo linatisha!

Nimekuwa nikitembelea Wilaya hiyo kila mara ajabu kila nijapo huwa nakuta ongezeko la Watu.Na hata sasa hali ni hiyo.

Nimejiridhisha pasi na shaka Mji huo unastahiki kabisa kuwa Manispaa lakini sielewi Mamlaka husika zinakwama wapi kuupandisha hadhi Mji huo.

Jambo la pili,ongezeko hilo la idadi ya Watu si dalili njema huko kwingineko hasa Vijiji na Miji baadhi jirani na Kahama.Kuna uwezekano hali ni ngumu huko watokako na hali hiyo huwapelekea hao Watu kukimbilia Kahama Mjini wakidhani hali pengine itakuwa nafuu hasa kiuchumi mara wafikapo ndani ya Mji ule.

Katika yote ni mda mwafaka sasa kwa Mamlaka husika kuupa hadhi ya kuwa Manispaa Mji huo wa Kahama kwani kwalo unastahiki.
huo mji ndio ulio kuwa unasitahili uwaja wa ndege wa chato lakini kwa vila tuna raisi waajabu na kaupereka kwenye eneo la ajabu kuwa na uwaja wa ndenge.
 
Kumbe ata nyinyi kwa nyinyi mkijazana sehemu mnapiga kelele wazanzibar wakipiga kelele kujaa Kwa watanganyika visiwani mtawita wabaguzi
 
Sgr haitakufanya upige hatua yoyote wewe mtu wa kanda pendwa,someni mtaishia kuwa manamba na kuitwa wanyonge
Aijengwi kikabila bali kwa mtazamo wa Tanzania na maendeleo yake.

Halafu mie ata sikuandika kisiasa za ushabiki wala kimakundi kwanza zaidi ya uhalisia kwa reasoning za social geography unapoweka access ya miji kufikiwa kirahisi mara nyingi people from rural areas will migrate to those areas.

Kunakuwa na changamoto zake na fursa zake kwa wafanyabiashara na sera sahihi zinahitajika kwa makusudi ya kuchochea uchumi maana miundombinu ipo sasa sioni ukabila nilipoweka zaidi ya social geography facts.
 
Mkuu umetumia vigezo gani ku-conclude kwamba kuna ongezeko la watu.Umefanya sampling au vipi,hebu tutonye.
Uwingi wa watu barabarani,sokoni,biashara mpya kila siku kufunguliwa na mishemishe mkuu ni nyingi.
 
Tuanze kuzoea tu hizi connection za barabara zinazoongezeka zinafungua access ya miji mingi kufikiwa kirahisi.

Central zones za miji mingi ambayo ilikuwa midogi ni swala la muda kufurika changamoto sasa ni kutengeneza ajira na kuvutia wawekezaji kwenye hayo maeneo maana kama miundombinu ipo.

Demography ya Tanzania inabadirika na itabadilika Kaddish hii miradi inavyotekelezwa ni swala la sera sahihi tu za biashara na uchumi kuna watu watashangaa hii nchi itakavyopiga hatua miaka tano sita ya baadae

Halafu unakuta mtu anapinga infrustructure projects.
Umenena vyema mkuu.
 
Nipo Kahama hapa Mjini lakini ongezeko la Watu ndani ya Mji huo linatisha!

Nimekuwa nikitembelea Wilaya hiyo kila mara ajabu kila nijapo huwa nakuta ongezeko la Watu.Na hata sasa hali ni hiyo.

Nimejiridhisha pasi na shaka Mji huo unastahiki kabisa kuwa Manispaa lakini sielewi Mamlaka husika zinakwama wapi kuupandisha hadhi Mji huo.

Jambo la pili,ongezeko hilo la idadi ya Watu si dalili njema huko kwingineko hasa Vijiji na Miji baadhi jirani na Kahama.Kuna uwezekano hali ni ngumu huko watokako na hali hiyo huwapelekea hao Watu kukimbilia Kahama Mjini wakidhani hali pengine itakuwa nafuu hasa kiuchumi mara wafikapo ndani ya Mji ule.

Katika yote ni mda mwafaka sasa kwa Mamlaka husika kuupa hadhi ya kuwa Manispaa Mji huo wa Kahama kwani kwalo unastahiki.
Viomgozi wenye dhamana ya eneo husika lazima wawajibike,eventually to fired if they work low
 
Nipo Kahama hapa Mjini lakini ongezeko la Watu ndani ya Mji huo linatisha!

Nimekuwa nikitembelea Wilaya hiyo kila mara ajabu kila nijapo huwa nakuta ongezeko la Watu.Na hata sasa hali ni hiyo.

Nimejiridhisha pasi na shaka Mji huo unastahiki kabisa kuwa Manispaa lakini sielewi Mamlaka husika zinakwama wapi kuupandisha hadhi Mji huo.

Jambo la pili,ongezeko hilo la idadi ya Watu si dalili njema huko kwingineko hasa Vijiji na Miji baadhi jirani na Kahama.Kuna uwezekano hali ni ngumu huko watokako na hali hiyo huwapelekea hao Watu kukimbilia Kahama Mjini wakidhani hali pengine itakuwa nafuu hasa kiuchumi mara wafikapo ndani ya Mji ule.

Katika yote ni mda mwafaka sasa kwa Mamlaka husika kuupa hadhi ya kuwa Manispaa Mji huo wa Kahama kwani kwalo unastahiki.
Usiniulize maswali fursa hiyo, watu wanahitaji kula, kuvaa, kunywa, kusoma, kulala, kusafiri, kulewa, kufurahi, na Wataugua pia jichagulie moja hapo uwahudumie.
 
Back
Top Bottom