ongera lema tumeona ujasili wako bungeni.

ongera lema tumeona ujasili wako bungeni.

ZigiZaga

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
957
Reaction score
1,080
sisi wapiga kula wako, jana umetudhihilishia kuwa ww ni kidume kweli,fanya kazi,fanya tukichokutuma,fanya kama unavyofanya huku,na fanya kama ss wapiga kula wako tunavyofanya, zidi fanya kama wabunge wenzako wa chadema na mtu kama fillip njombe anavyofanya. tuko nyuma nyuma yenu ss watanzania, na tunawategemea sana mtutoe katika janga hili la unyanyaswaji. good bless chadema.
 
sisi wapiga kula wako, jana umetudhihilishia kuwa ww ni kidume kweli,fanya kazi,fanya tukichokutuma,fanya kama unavyofanya huku,na fanya kama ss wapiga kula wako tunavyofanya, zidi fanya kama wabunge wenzako wa chadema na mtu kama fillip njombe anavyofanya. tuko nyuma nyuma yenu ss watanzania, na tunawategemea sana mtutoe katika janga hili la unyanyaswaji. good bless chadema.

Ujinga mtupu
 
najivunia kuwa na mbunge aina ya g.lema

gesi haitoki mtwara sasa tunamwomba mheshimiwa lema aje kugombea ubunge mtwara
kiwani amebaki kuapishwa tu kwa hiyo wana arusha tunawaomba mtupatie mheshimiwa
lema naamini haitokiiiiiiii lema kanyaga twende ccm hoyeeee
 
Kamanda lema safi sana,jana umetonesha kidonda ndugu,madaktari walihaha kusaidia lakini wapi,kidonda kinatoa usaha,viva lema
 
heko kaka!!!!
u are a natural hero amongst the heroin "ccm mps".
 
Jamani mwanzisha uzi anatumia lugha gani?kuweni serious maana muda mwingine tunaandika vitu kutokana na mahaba
 
Back
Top Bottom