anafanana sana na baba wa nchi kuanzia sauti hadi face ni kopraiti hata madaraka na makongoro hawamfikii
Dah! Umenikumbusha form two mambo ya fasihi andishi na simulizi.Aghalabu haya ni matokeo ya kipaji na ukweli kubusiana mwaa! Mwangwi wa hilo huugusa kila moyo wa aliye mbele ya fanani.
K<script id="gpt-impl-0.09735627099871635" src="http://partner.googleadservices.com/gpt/pubads_impl_69r.js"></script>wa sababu lile dili la kumkaribisha Lowasa Ukawa na kudai sio fisadi liliwashangaza watu.
Hivyo akisimama kuongea watu wanasikiliza kujua atakuja na mpya gani.