Abdallah kimwaga
Member
- Dec 16, 2012
- 49
- 8
NIna mke lakini nina miezi kadhaa sijatakuna naye kimwili,kisa ni majukumu ya kimaisha,mke wngu ni fundi nguo,mm ni shopkeeper ni mara chache nalala nyumbani,lakini mke wamgu hua amechoka,kumbuka vipato vyetu ndio huendesha maisha yetu na watoto wetu 3.hivyo naogopa kumuachisha..kukosa kwngu ngono najihisi kuathirika kia,kili yaani simtamani kabisa wife kutokana na makelele yaake ya kuchosha
UShauri jamani
UShauri jamani