One poor girl like me

One poor girl like me

Eduin

Senior Member
Joined
May 15, 2014
Posts
189
Reaction score
136
Iam Edu, 26 looking for you poor lady under 22 for coupling, neither ur education nor your business neither your color nor your height as long as you you will fit my poverty soul.

Pm or 713 123 160 waiting
 
Eduin

Kwani kuandika kiswahili dhambi…! ONA SASA,

Mungu akupe haja ya moyo wako
 
Last edited by a moderator:
katangaze barabaran unaonyesha ata kuongea hujui kama english na kiswahil vyote hujui unatafuta mchina maskini au?
 
kwanini njamani watz wenzangu munazingua rakin ujumbe wamefika?
 
Ni vijana wetu tutafanyaje...kuongea tu hajui halafu anataka kutongoza...hawajui kutongoza ni elimu nyingine ya juu!

Vijana wa sikuhizi ni usharobaro na kuwaza mapenzi tu badala ya kusoma ili ajikwamue na huo umaskini anatafuta maskini mwenzake ajifariji
 
Vijana wa sikuhizi ni usharobaro na kuwaza mapenzi tu badala ya kusoma ili ajikwamue na huo umaskini anatafuta maskini mwenzake ajifariji

Hii sheria ya kuolewa ikifika bongo robo tatu ya hawa ambao wakiface difficult kidogo tu wanaanzakulialia watawekwa ndani na wenzao tu maana hakuna jinsi!
 
Hii sheria ya kuolewa ikifika bongo robo tatu ya hawa ambao wakiface difficult kidogo tu wanaanzakulialia watawekwa ndani na wenzao tu maana hakuna jinsi!

Halafu sikuhizi wamejaa Jf sijui kwanini wanaboa na vithread vyao vya kishenzi shenzi
 
Halafu sikuhizi wamejaa Jf sijui kwanini wanaboa na vithread vyao vya kishenzi shenzi

Hawa ni watoto wa shule likizo ikiisha hutaona tena hizo thread...zamani mbona threads za mapicha picha tumeziona nyingi tu? Kanaibuka kajamaa ...leo kanasema kana miaka 21 hakajawahi kujihusisha na mapenzi...baada ya saa tano atakuja na uzi mwingine...mimi ni kijana wa miaka 28 natafuta mchumba...siku hiyo hiyo usiku ataanzisha uzi mwinge 'nina miaka 35 nimeoa' mke wangu ana jamba sana usiku naombeni ushauri!
 
ati mimi sio maskin ya pesa wala mali wala elim... nakosa msichana amiinike kuangu nyie atu aje
 
Back
Top Bottom