Shishi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,242
- 39
- Thread starter
- #41
Hongera sana mdogo wangu. Nakutakia kila la heri kwenye ndoa yako. Upate kufurahia maisha kama tunavyotesa sisi; na usipate taabu kama yule shoga yake FL1. Inshallah, tutakuombea mambo yake yaende poa!!
Kwa nini usije na kitu kipya kabisa (ukatoka kivyako vyako), kwa kafanya Bedroom party, ili wote tuhudhurie (sisi na ninyi) na kukupa tips. KPs are biased ila BP itakuwa balanced kwakni utapata pande zote mbili za shilingi. Unaonaje?
Thanks DC, InshaAllah kheri. sasa that idea of a BP aint bad at all...shall we have practicals???