Tangazo liliwekwa kwenye website ya fastjet kwamba kutakuwa na promotion ya 24 hours kuanzia saa 2 asubuhi leo kwa safari zote za ndani kuwa $20 au Tsh. 32,000/= kwa safari za kuanzia tarehe 15-30/September 2014. Hadi muda huu ninapoandika hapa hicho kilichotangazwa hakijatokea. Online booking bado ina bei zilezile za kawaida, wakati huo kwenye website wanasema harakisha tiketi zinakatibia kuisha, lakini ukienda kufanya booking hukuti hiyo bei.
Nimeuliza kwenye ofisi zao hapa DSM kwa simu wanasema hata wao hawajui wamefichwa hawajui kinachoendelea. Huu ni utapeli na tabia hii inasababisha usumbufu kwa wasafiri. Mamlaka zinazohusika ziwachukulie hatua kali kwa kuwadanganya wateja.
Nimeuliza kwenye ofisi zao hapa DSM kwa simu wanasema hata wao hawajui wamefichwa hawajui kinachoendelea. Huu ni utapeli na tabia hii inasababisha usumbufu kwa wasafiri. Mamlaka zinazohusika ziwachukulie hatua kali kwa kuwadanganya wateja.