Once Again: CHADEMA will show the Nation that the will pass this test

Once Again: CHADEMA will show the Nation that the will pass this test

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,217
Once again CDM will show the nation and the world that they pass this test.Si test ya kwanza ngumu kwa vyama kama NCCR,TLP,CUF ila CDm huwa wanapita kama hakuna kitu na more rewards zinawafuata.

Matukio yote ya yanayopangwa na CCM kw aubay ahuwa yanasemwa kabla na viongozi wa CCM wakidhani wataonekana watabairi,huku wakiwa uchi kabos n akuonekana kuwa kuwa wao ndipo wanapanga halafu wana attribute to prediction.Wassira na wengine.NIliowawekea thread kuomba ushauri nimshitaki kwa wazee wa Kikurya wamchape fimbo nyingi bahati mbaya aliyekuwa mod aliona kuwa si njema kw ahisia zake.Huyu mzee na nape wamekuwa wakito amatamshi ya kijing na hatari wkaidhani kuw ani wajanja halafu mwishowe ni usababihs mauaji huku CDM wakiw macho mapema.n akuendelea na kazi zao.

This time CCM wameingi choo cha kike, vijana waliotumwa hawana nguvu wala hawakujengwa kuwa wapuuzi kama wa CCM, wakosa adabu kam wa CCM, walijengwa kuwa viongozi imara kama JJ myika, wao wakachuua route ngumu ya kuw wajinga,bila kujua hawakuw ana hio nguvu, walitakiwa jengewa nguvu na kupandishwa draja wakiwa hata umri mdogo hivyo hivyo na kuchuku amajukumu kama JJ Mnyika(nilipenda awe roll model wa Zitto).

test imechavuja na kuharibika prematurely.Kbla hata dr. Slaa hajasimama na kutolea ufafanuzi,kabla hata Mbowe hajasimama na kutoa neno lenye mamlaka.Zitto kw aujinga huu kachemsha big time.

Kam ni urais mwenye akili angesubiri CDM inchukue nchi ndipo adai kugombea,kwani sasa si rahisi hivyo kwa vile itakuw ani kukiongeze chama upinzani na mzigo.Sasa hivi chama kilipaswa kwenda na best and optimu msettings tuu.
 
Its good, mwisho wao umefika zaidi ya walivyodhani. Mungu ni muweza wa yote, hakika anayafahamu hata yote ambayo tunaweza kuyaficha sirini mwetu. ZZK anaumbuka mapena na hii ni nzuri kwa CHADEMA, kwani tunapata muda wa kujipanga zaidi. Migogoro ni sehemu ya kujifunza na siyo kuchafuana.
 
ZZK sasa ana ID kibao kupendekeza maelewano, kupendekeza claibre fulani anayopenda jiweka, anashambulia waliombana kw akuwaita wana chuki binafsi, anajipa superstar roles and positions, anajipa diplomatic appreciation, ana onaomba huruma ya watu kwa mgongo wa Mkoa wake kigoma as if tabora pamora pamoja na kuw amakao makuu ya kanda ni nzuri sana, analalamika kutopendwa na kudai akupendwa at the same time as if kapewa kazi ya kupendwa.
 
Cdm itashinda,naamini hiki chama kina mkono wa Allah, katika uwepo wake,kadri watu wanavyoisema vibaya ndipo umaarufu unazidi.
 
umenena vema mkuu, hizi ni changamoto kuendea taasisi imara na yenye uzoefu wakutosha, walio wepesi wameshanunuliwa ndo hawa ambao MUNGU kaamua kuwaweka wazi ili tuwajue, kwani hakuna jambo baya litakalo fanywa sirini lisiwe wazi, kwa sababu moja KUU kwamba CHADEMA wanatetea HAKI za wanyonge wa nchi hii, wanachadema na wapenda mabadiliko msife moyo kwani ukombozi ukaribu bado kitambo kidogo sana.

Slaa na Mbowe ninyi ndo nguzo kuu ya chama, na mshikamano wenu ndo umekifikisha chama hapa kilipo, msibabaike na hao wenye uchu wa madaraka mbona ni madebe tupu tu hayo. Msikubali kuvurugwa mshikamano wenu, kwani hilo ndilo wana litafuta sana hawa wasaliti wa watanzania.
 
Zitto(30).jpg


ZittoKabwe1.jpg


Sio cobra ni mtu

Mbunge-wa-Kigoma-Kaskazini-Kabwe-Zitto.jpg


Dr.Slaa-na-Kabwe1.jpg

halafu
 
Cdm itashinda,naamini hiki chama kina mkono wa Allah, katika uwepo wake,kadri watu wanavyoisema vibaya ndipo umaarufu unazidi.
icon1.png
Ukimuachia FISI bucha atakula hadi mizani, Chadema kwa njaa waliyonayo hawafai kupewa nchi
Nimeafuatilia migogoro inayoendelea ndani ya chadema na nimegundua tatizo ni dogo sana. KILA KIONGOZI ANATAKA AWE RAIS.

Hii ni dalili kuwa kuna watu wana njaa kali sana humo na mawazo yao yote ni kuwa wakiingia ikulu kitu cha kwanza ni kuanza kula mpaka washibe. Kwa nini Zito alipotamka anataka kugombea urais wanachadema wamchukie kiasi hicho? si wangesubiri tu wakati wa kupiga kura wamtose kuliko kuanza kumtukana hapa jf?

Mbona kimewaudhi sana hiki kitendo? hapo kuna mtu ambaye mimi nadhani ndie presidential material hajasema kitu ... TUNDU LISU . huyu naye akifungua kinywa tu aseme neno rais bila hata kusema atagombea basi ngumi za uso zitaanza tena hapa JF.

Hizi dalili zote zimewatisha sana watanzania kiasi kwamba wameona kuwaachia nchi chadema ni sawa na kuwaacha fisi wakutunzie bucha lako, hapo ujue hakitabaki kitu.

MODS kama lugha niliyotumia siyo nzuri naomba muirekebishe kutumia neno fisi sina maana ya kutukana ni mfano tu wa mnyama kwa sababu nisingetumia sima kwa sababu simba hali nyama iliyokwisha chinjwa na nisingetumia mamba kwa sababu mamba wanakulaga mlo mmoja tu kwa mwezi lakini fisi haridhiki
chadema+copy.jpg

Last edited by Farida Ponda; Yesterday at 23:11.
 
Niseme tu kile kilichotokea wakati ule NCCR mageuzi J. Mbatia na uongozi mzima alipoamua kuwatimua vijana wa kigoma ikiwepo Kafulila inatukumbusha ni jinsi gani vijana wale walivyokuwa na mkakati wa kikivuruga chama kile' kwani inaonekakana walikutamani mambo makubwa ya kiuongozi hata kabla ya muda.

Siku moja nikiwa nasoma O'level kuliwahi kuwepo mjadala wa kisiasa usio rasmi wenye heading watu maeneo wanayotoka, mitizamo na misimamo yao ktk Mapambano ya kuwa na Taifa lenye haki na usawa (Demokrasia ya kweli). Mada ilijikita kwenye swala la kusimamia kile mtu anachokiamini na angepnda kiwe kwa nguvu zake zote. Kuna mjumbe mmoja toka Maeneo ya Kigoma alipata kusema " kama unataka kufanya mabadiliko ya kweli yenye kuleta tija kwa Taifa ujue pia yana negative impact kwa watawala wa sasa basi angalia sana wahusika (washirika) ktk strategies zenu ili kufanikisha malengo mtakayokuwa mmejiwekea" Mjumbe huyu alimaanisha kuwa kuna watu ni wazuri sana ktk kuongea na kusitrategies lakini ni wepesi sana kubadilikana kwa kutumika ndivyo sivyo wakati wa safari na kufifisha mapamabano dhidi ya dhuruma.

Hata ktk maandiko matakatifu au misaafu ya kidini imeandikwa na kuonyesha usaliti wa wazi tena kwa mitume na manabii wa Mungu. Watanzania tunapokuwa na hamu ya Mabadiriko ya kisiasa, kiuchumi na Kijamii tusiende kama kondoo vichwa chini kila wakati bali tuwe kama mbuzi tukizingatia kuwa mapambano tuliyonayo si kazi lelemama, tujichunguze, tujitafakari na kuangalia kama bado tupo pamoja maana ktk mkakati wetu wa ukombozi Uimara wetu unaweza pia kutumika na watu miongoni mwetu kama mtaji wa kupata ulaji kwa njia ya usaliti.

Adui wa watanzania CCM ni mwelevu kama nyoka, anaujanja na mbinu nyingi, adui anazo pesa za kutosha ( Mafisadi) nani asijejua ili , adui anajua hapendwi mtu bali pesa na ndio maana yeye amehalalisha UFISADI kama sera na mkakati wa ushindi kwenye chaguzi za ndani ya chama na nje ya chama. Adui anajua kuwa uongozi ni pesa na kuongozwa ni umasikini, adui amekuja na mbinu za kila aina ikiwa ni kutuzushia mambo yasiyo na kichwa wala miguu, adui anajua kuwa tunao uwezo mkubwa kimkakati na kuwa tunayosaport kubwa ya watanzania, hivyo basi adui wa watanzania CCM amebuni njia ya kutufitinisha na kutufarakanisha.

Adui anajua kuwa ufisadi,fitina, majungu na kutokuwa na mkakati wa pamoja ndo vimemkosesha matumani 2015 kwa watanzania na sasa anajipanga kutupaka matupe.Zaidi ya yote adui amekuja na mkakati wa kututoa kwenye mijadala ya mambo ya kimsingi na kutupumbaza tujadili mambo yasiyo na manufaa kwa taifa letu...

Watania tukatie kujadili upuuzi, la maana tujikite kwenye swala tete la Umasikini wetu na familia zetu je utaisha lini, je kuna dalili za kupambazuka mbele ya safari?. Tujadili kwa nini tupo masikini je kuna mkono wa watu, serikari au ni Mungu tu aliamua tuwe jinsi tulivyo milelena milele ? ni kipi kifanyike kuondoa umasikini kwa watanzania.

Umasikini wa watanzania umeonekana na ni dhahili kuna mkono wa kisiasa CCM, hivyo basi CHADEMA umeonekana na umedhihilisha kupitia mijadala ya KIBUNGE na almashauri unazoziongoza kuwa wewe ni mkombozi wa kweli kwa Umasikini wa watanzania kwa hiyo swala ni kujipanga kimkakati, kujichunguza, kujitathimini na kujua ni namna gani watanzania wapewe elimu ya uraia ili 2015 upewe Dola tuweze kuanza safari yenye neema ya kweli kwa kila mtanzania.

CHADEMA TUJITADHIMINI ILI TUONE KAMA BADO TUPO PAMOJA KIMKAKATI
 
Inatakiwa wafukuzwe kwanza kundi ka PM7 linaloongozwa na Mchawi wa Kigoma a.k.a Prezoo
 
Hapa ni lazima kwanza chama kijipambanue kiutendaji na kusimamia uwajibikaji ktk kuwatimulia mbali wale masalia kwani wakiendelea kauchwa wataambukiza sumu ile kwa vijana wengine chamani, so baada ya hapo ndio tuendelee na mikakati mingine.

Walitimuliwa madiwani 5 Arusha na 2 mwanza ndo ije kuwa hawa mburula wachache tu na kiongozi wao PREZZO.
 
Hapa ni lazima kwanza chama kijipambanue kiutendaji na kusimamia uwajibikaji ktk kuwatimulia mbali wale masalia kwani wakiendelea kauchwa wataambukiza sumu ile kwa vijana wengine chamani, so baada ya hapo ndio tuendelee na mikakati mingine.

Walitimuliwa madiwani 5 Arusha na 2 mwanza ndo ije kuwa hawa mburula wachache tu na kiongozi wao PREZZO.

Spot on.
 
Naona Zittophobia inazidi ku gain momentum, kila kukicha ni threads zaidi ya 10 kwa Zitto, ziwe zinamzungumzia kwa uzuri au kwa kwa ubaya, as long as jina la ZZK linatajwa, huku nu kumuongezea umaarufu!. At the moment, ZZK ndie the most popular politician in Tanzania as of now!. Kwa kwa wale ambao ndio role model wao, kwa wao ZZK ni Sterling, na sterling hauwawi!. Hata mumuue vipi, hafi!, alikuwepo, yupo na ataendelea kuwepo!.

Mkuu ZZK, thanks kwa kukaa kimya, please don't react kwa kila utumbo utumbo unaotupiwa humu!, ukireact, utombo utumbo mwingine, unaweza kutumbuka!.

Pasco.
 
Naona Zittophobia inazidi ku gain momentum, kila kukicha ni threads zaidi ya 10 kwa Zitto, ziwe zinamzungumzia kwa uzuri au kwa kwa ubaya, as long as jina la ZZK linatajwa, huku nu kumuongezea umaarufu!. At the moment, ZZK ndie the most popular politician in Tanzania as of now!. Kwa kwa wale ambao ndio role model wao, kwa wao ZZK ni Sterling, na sterling hauwawi!. Hata mumuue vipi, hafi!, alikuwepo, yupo na ataendelea kuwepo!.

Mkuu ZZK, thanks kwa kukaa kimya, please don't react kwa kila utumbo utumbo unaotupiwa humu!, ukireact, utombo utumbo mwingine, unaweza kutumbuka!.

Pasco.

Tehtehteh!
Kama juzi alivyojitumbua ?
 
Tehtehteh!
Kama juzi alivyojitumbua ?
,
Kusema ukweli, kama ZZK angejikalia kimya, yaani asingeijibu ile thread ile, haya mautumbo utumbo yanatumbuka sasa, yasingelitumbukia humu jf!, wangeyamaliza wenyewe kwenye vikao vyao!. Now the pandora box is wide open!, utumbo wote nje, na mainzi ya humu jf yanavyozongea huo utumbo!. Mpaka kero!.
Mimi wasiwasi wangu ni huyo mpasua utumbo saa8!, wenzao CCM wanawakolimba watu wa aine yake, lakini Chadema, wanawangwe!, wasije wakamwangwe!.
P.
 
Naona Zittophobia inazidi ku gain momentum, kila kukicha ni threads zaidi ya 10 kwa Zitto, ziwe zinamzungumzia kwa uzuri au kwa kwa ubaya, as long as jina la ZZK linatajwa, huku nu kumuongezea umaarufu!. At the moment, ZZK ndie the most popular politician in Tanzania as of now!. Kwa kwa wale ambao ndio role model wao, kwa wao ZZK ni Sterling, na sterling hauwawi!. Hata mumuue vipi, hafi!, alikuwepo, yupo na ataendelea kuwepo!.

Mkuu ZZK, thanks kwa kukaa kimya, please don't react kwa kila utumbo utumbo unaotupiwa humu!, ukireact, utombo utumbo mwingine, unaweza kutumbuka!.

Pasco.


Kwa wewe Pasco mwenye maslahi na upande mmmoja katika wagombea watarajiwa hukutakiwa kuchangia huu mjadala na kama ilikuwa ni lazima kuchangia basi ungefanya hivyo objectively, lakini badala yake umechangia emotionaly kiasi kwamba umeishia kutukana watu tu bila kuweka hoja mezani.

Unajua mimi na wewe mara nyingi hatukubaliani katika mambo mengi hasa yanayohusu Chadema na nimekuwa nikikujibu kwa tune ile ile unayotumia kucomment lakini kwa leo nakuacha hivyo hivyo, nakupa zawadi ya krismas na mwaka mpya. Lakini utambue kabisa kwamba tukifanikiwa kuanza mwaka 2013 ukaandika utumbo kama huu ulioandika hapa utajibiwa utumbo. tena utumbo uliooza.

Heri ya x-mass na mwaka mpya wa 2013.
 
Last edited by a moderator:
,
Kusema ukweli, kama ZZK angejikalia kimya, yaani asingeijibu ile thread ile, haya mautumbo utumbo yanatumbuka sasa, yasingelitumbukia humu jf!, wangeyamaliza wenyewe kwenye vikao vyao!. Now the pandora box is wide open!, utumbo wote nje, na mainzi ya humu jf yanavyozongea huo utumbo!. Mpaka kero!.
Mimi wasiwasi wangu ni huyo mpasua utumbo saa8!, wenzao CCM wanawakolimba watu wa aine yake, lakini Chadema, wanawangwe!, wasije wakamwangwe!.
P.

Hahahahaha Pasco umeanza kutohoa kumbe siku hizi? good, keep it up "shemeji".
 
Kwa wewe Pasco mwenye maslahi na upande mmmoja katika wagombea watarajiwa hukutakiwa kuchangia huu mjadala na kama ilikuwa ni lazima kuchangia basi ungefanya hivyo objectively, lakini badala yake umechangia emotionaly kiasi kwamba umeishia kutukana watu tu bila kuweka hoja mezani.

Unajua mimi na wewe mara nyingi hatukubaliani katika mambo mengi hasa yanayohusu Chadema na nimekuwa nikikujibu kwa tune ile ile unayotumia kucomment lakini kwa leo nakuacha hivyo hivyo, nakupa zawadi ya krismas na mwaka mpya. Lakini utambue kabisa kwamba tukifanikiwa kuanza mwaka 2013 ukaandika utumbo kama huu ulioandika hapa utajibiwa utumbo. tena utumbo uliooza.

Heri ya x-mass na mwaka mpya wa 2013.

Nimekusikia

Hahahahaha Pasco umeanza kutohoa kumbe siku hizi? good, keep it up "shemeji".
Heri ya x-mass na mwaka mpya wa 2013 "shemejii"

 
icon1.png
Ukimuachia FISI bucha atakula hadi mizani, Chadema kwa njaa waliyonayo hawafai kupewa nchi
Nimeafuatilia migogoro inayoendelea ndani ya chadema na nimegundua tatizo ni dogo sana. KILA KIONGOZI ANATAKA AWE RAIS.
Hii ni dalili kuwa kuna watu wana njaa kali sana humo na mawazo yao yote ni kuwa wakiingia ikulu kitu cha kwanza ni kuanza kula mpaka washibe. Kwa nini Zito alipotamka anataka kugombea urais wanachadema wamchukie kiasi hicho? si wangesubiri tu wakati wa kupiga kura wamtose kuliko kuanza kumtukana hapa jf? Mbona kimewaudhi sana hiki kitendo? hapo kuna mtu ambaye mimi nadhani ndie presidential material hajasema kitu ... TUNDU LISU . huyu naye akifungua kinywa tu aseme neno rais bila hata kusema atagombea basi ngumi za uso zitaanza tena hapa JF.
Hizi dalili zote zimewatisha sana watanzania kiasi kwamba wameona kuwaachia nchi chadema ni sawa na kuwaacha fisi wakutunzie bucha lako, hapo ujue hakitabaki kitu.
MODS kama lugha niliyotumia siyo nzuri naomba muirekebishe kutumia neno fisi sina maana ya kutukana ni mfano tu wa mnyama kwa sababu nisingetumia sima kwa sababu simba hali nyama iliyokwisha chinjwa na nisingetumia mamba kwa sababu mamba wanakulaga mlo mmoja tu kwa mwezi lakini fisi haridhiki
chadema+copy.jpg

Last edited by Farida Ponda; Yesterday at 23:11.

Ni mawazo ya kitumwa, haupo huru katika kufikiri.
 
icon1.png
Ukimuachia FISI bucha atakula hadi mizani, Chadema kwa njaa waliyonayo hawafai kupewa nchi
Nimeafuatilia migogoro inayoendelea ndani ya chadema na nimegundua tatizo ni dogo sana. KILA KIONGOZI ANATAKA AWE RAIS. Hii ni dalili kuwa kuna watu wana njaa kali sana humo na mawazo yao yote ni kuwa wakiingia ikulu kitu cha kwanza ni kuanza kula mpaka washibe. Kwa nini Zito alipotamka anataka kugombea urais wanachadema wamchukie kiasi hicho? si wangesubiri tu wakati wa kupiga kura wamtose kuliko kuanza kumtukana hapa jf? Mbona kimewaudhi sana hiki kitendo? hapo kuna mtu ambaye mimi nadhani ndie presidential material hajasema kitu ... TUNDU LISU . huyu naye akifungua kinywa tu aseme neno rais bila hata kusema atagombea basi ngumi za uso zitaanza tena hapa JF. Hizi dalili zote zimewatisha sana watanzania kiasi kwamba wameona kuwaachia nchi chadema ni sawa na kuwaacha fisi wakutunzie bucha lako, hapo ujue hakitabaki kitu. MODS kama lugha niliyotumia siyo nzuri naomba muirekebishe kutumia neno fisi sina maana ya kutukana ni mfano tu wa mnyama kwa sababu nisingetumia sima kwa sababu simba hali nyama iliyokwisha chinjwa na nisingetumia mamba kwa sababu mamba wanakulaga mlo mmoja tu kwa mwezi lakini fisi haridhiki
chadema+copy.jpg
Last edited by Farida Ponda; Yesterday at 23:11.​
Zitto hakusema tuu anagombea urais alisema kigom awajiandae kumpokea Rais.Hiyo tuu inatosha konyesha kizazi chenu chote hakijaelewa na wala hakitoweza elewa hadi ipite miaka kama ya Newton na tuanaozisoma fikra zake. Aliposema ni Rais tayari keshauwa democrasia anayojifanya anaijua huyu "Adui Number Moja wa watanzania kwa kizazi hiki", sasa ukisema ufisadi , umaiskini , ujinga na maradhi kama maadui wa TZ tafadhali usisahau na ZItto.Kusema kuw andiye rais ni kuwa umeshajichangua ktk uteuzi wa ndani wa chama, na pia watanzania pia wameshakuchagua kam asi kujichaguaThis sociala psychopath is more dangerous than peopla can imagine.
 
icon1.png
Ukimuachia FISI bucha atakula hadi mizani, Chadema kwa njaa waliyonayo hawafai kupewa nchi
Nimeafuatilia migogoro inayoendelea ndani ya chadema na nimegundua tatizo ni dogo sana. KILA KIONGOZI ANATAKA AWE RAIS.
Hii ni dalili kuwa kuna watu wana njaa kali sana humo na mawazo yao yote ni kuwa wakiingia ikulu kitu cha kwanza ni kuanza kula mpaka washibe. Kwa nini Zito alipotamka anataka kugombea urais wanachadema wamchukie kiasi hicho? si wangesubiri tu wakati wa kupiga kura wamtose kuliko kuanza kumtukana hapa jf? Mbona kimewaudhi sana hiki kitendo? hapo kuna mtu ambaye mimi nadhani ndie presidential material hajasema kitu ... TUNDU LISU . huyu naye akifungua kinywa tu aseme neno rais bila hata kusema atagombea basi ngumi za uso zitaanza tena hapa JF.
Hizi dalili zote zimewatisha sana watanzania kiasi kwamba wameona kuwaachia nchi chadema ni sawa na kuwaacha fisi wakutunzie bucha lako, hapo ujue hakitabaki kitu.
MODS kama lugha niliyotumia siyo nzuri naomba muirekebishe kutumia neno fisi sina maana ya kutukana ni mfano tu wa mnyama kwa sababu nisingetumia sima kwa sababu simba hali nyama iliyokwisha chinjwa na nisingetumia mamba kwa sababu mamba wanakulaga mlo mmoja tu kwa mwezi lakini fisi haridhiki
chadema+copy.jpg

Last edited by Farida Ponda; Yesterday at 23:11.

wanaoutaka uraisi chadema ni wachache kuliko wanaoutaka urais ccm. halafu fisi yupi bora aliekula 51 miaka au anaetaka kula kwani wote kama ulivyosema wanakula mara nyingi kwa siku lakini huyu mgeni hatujui anakulaje hawa mafisi wa 51 tunajua wanakulaje yaani hata kufikilia watoto wao hawajui
 
Back
Top Bottom