Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,803
- 59,283
- Thread starter
- #101
Hii ni muafaka kwa kidume chochote....
Sound so real,
Hakika huyo "friend" ananafafasi kubwa ya kukupa furaha,
Kama ikatokea mkazaa penzi,,,!
WIth that, hauhitaji limbwata.... kijana wa kiume ni utamshika tu..
Mistari ya ukweli, najaribu kujenga ndoto kwamba mtoto mmoja ananiambia hivyo....
Oooh mnyakyusa mimi ntatoa kila kitu kama Mwanakijiji na stori yake ya "mtoto wa tanga" na kisa cha penzi lililokataliwa.
Hahahaha!!
JG umenifurahisha sana...kumbe na hii ni aina ya limbwata ehhh?!
Basi itabidi niliendeleze maana halicost chochote!!Sema sikujua kama wanaume mnapenda hii mambo!!Nlidhani ni sisi wadada tu ndo tunaopenda kuimbiwa na kuandikiwa mashairi!!!