ona hii!!!

ona hii!!!

jamiif

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
2,413
Reaction score
995
Binti: Hello baba,
Baba: Sema binti yangu
Binti: Nimempenda huyu mlinzi
wa hapa nyumbani, nimeamua
kutoroka nikaolewe nae.
Baba: Pumbafu kweli wewe
unadhani ntashtuka? Safari njema
na nisikuone tena sura yako.
Binti: Samahani baba, nilikuwa
nakusomea barua aliyoacha
mama,
Baba: Umesema????????

haya wanajamvi ingekutokea wewe ungefanyaje?
 
jib rahis tu,"Nashukuru sasa cz nilikuwa nawaza nitakufukuzaje ili nimuoe housgal "
 
No ujanja unakubaliana na hali halisi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom