Kwa kuwa umegusia pia suala la udairekta...
Kuna mahali naona kama huyo muimbaji kakosea tena si kidogo....
Muimbaji anaimba habari za Simba wa kabila la Yuda "Yesu Kristo" halafu mkononi kashikilia kitabu cha imani ya Kiislamu ambacho hakimtambui Kristo kama Simba wa kabila la Yuda...
Ukiacha hilo mandhari ya lokesheni mliyofanyia shooting haina uhalisia na maudhui ya wimbo husika, yaani yana sanamu ambazo hazina uhusiano wowote na Simba wa kabila la Yuda...
Kwa kifupi hakuna Mkristo anayeweza kuwa 'moved' na kazi yenu hii...sorry!!!