On Magufuli na Odinga: CHADEMA wapo sawa!

Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,464
- Nimeona Mkurugenzi wa CHADEMA leo akidai maelezo kuhusiana na safari ya hivi karibuni ya Waziri wa CCM Magufuli huko Kenya na kuhusika na mikutano ya kampeni za Urais huko,

- Now kwenye hilo this time CHADEMA wapo on the right side of the coin, CCM itoe maelezo ya kina as to how and why Magufuli didi that, kwa sababu ieleweke kwamba Waziri wa Jamhuri anakuwa On Duty 24 hours akiwakilisha Jamhuri sasa alikwenda huko kuwakilisha Jamhuri au CCM?

- Ni muhimu Serikali ya CCM ikatoa maelezo sasa kabla haijageuka kuwa a big deal ni ishu ndogo sana ila ikiachwa itageuka kuwa kubwa na kutuumiza CCM, so CCM let's get the facts out now!

Es!
 
Mie nafikiri Magufuli kafanya jambo la maana kwani kashaanza kupanua mipaka ya CCM.

Ukiacha ya kufungua Matawi nje ya nchi, sasa wanaanza kuingia hadi kwenye vyama vya Siasa nje ya Tanzania maana vya Tanzania wameshamaliza kwa kupanda watu wao na hilo wote tunalielewa.

HONGERA SANA NGOSHA Magufuli.
 
Sio hili la Magufuri tu bali hata la makada wa CCM(Nape, Kinana) kuwaita watumishi wa umma kwenye mikutano ya CCM ili wajieleze wamelipata wapi? Wanatumia sheria gani? Wanatumia mamlaka ipi?
 
- Kiboko cha nani? Taifa tunawalipa kutusaidia CCM na this is one of their responsibility, unamsifia mtu kwa kufanya wajibu wake?

Es!

Mnawalipa ninyi kina nani?
Nitashangaa sana kama utakuwa unamaanisha majukumu ya serikali ndio majukumu ya CCM, tofauti na hapo sioni CCM inasaidiwa vp
 
Hapa ndipo utakajua kuwa CHADEMA ndio inayoongoza hii nchi japokuwa CCM ndio wanaotawala.
Maana hoja za Chadema siku zote zina ujumbe mzito sio kama za CCM za kizezeta.
 
Uvivu wa kufikiri, magufuli hakwenda kuiwakilisha CCM wala serikali, ameenda Kama mtu binafsi Huyu wenje Hana la kuongea tamko limekaa kimajungu majungu, yeye ndiye anatakiwa kuthibitisha iwapo magufuli alisema anaiwakilisha CCM au serikali. CHADEMA wa jipange kushughulika na issues waachane na individuals vinginevyo wanapoteza mwelekeo kwa sasa na kuchezeshwa Kama Joyce wowo sindimba ya CCM
 
hivi Nape alipowapiga mkwara watumishi wa serikali alikuwa anajiwakilisha nafsi yake? Hii ni tabia ya wanaCCM usitetee ujinga.
 
- Kiboko cha nani? Taifa tunawalipa kutusaidia CCM na this is one of their responsibility, unamsifia mtu kwa kufanya wajibu wake?

Es!

Le mutuz Kumbe na wewe unatambua wajibu wa viongozi? Kumbe CHADEMA huwa wanakuwa sahihi kutokubaliana na sofa za kijinga
 
Utashangaa CCM itakavyokuja na majibu rahisi kwenye maswali muhimu kama hili.
Kwa mfano, CCM itajibu hivi
''Magufuli hakutumwa na Serikali na wala CCM bali alikwenda yeye binafsi''
 
I cant beleive it....is it you?
Heeeee, kumbe watu wana two sides.
Still laoding...
 
Mkuu PhD,
Mbona umejivua nguo? Wakati wa function ile, Magufuri alitambulishwa kama mwakilishi wa CCM.
 
Last edited by a moderator:

Unata kusema Magufuli siku hiyo alikuwa likizo au me sijakuelewa?
 
Reactions: PhD

- Hapana CCM hapa tuna kesi ya kujibu, Magufuli amekwenda huko kwa mgongo upi? Waziri wa Jamhuri, Mjumbe wa CCM, au Mtu binafsi, CCM ni lazima ithibitishe kwamba Magufuli amekwenda huko kwa nauli yake mwenyewe, hakulipiwa na Serikali wala CCM, na kwamba akiwa huko hakulipiwa anything na Serikali yetu wala ya Kenya, na CCM ni lazima iathibitishe kwamba ni kawaida kwa safari kama hizi kwa MAwaziri wetu kwa kuonyeshwa kuwa zimewahi kufanywa na mawaziri wengine pia!

- So baada ya majibu ya haya maswali kuna mengi ya nyongeza kutokana na majibu yatakayotolewa!!

Es!
 
- Kiboko cha nani? Taifa tunawalipa kutusaidia CCM na this is one of their responsibility, unamsifia mtu kwa kufanya wajibu wake?

Es!

Le mutuz bana sasa mbona unapandisha jazba?chama chako na serikali yako ni viazi.
 

Hata wakisingizia kwamba alikwenda kwa nauli yake,je majukumu yake alimuachia nani?..............................loading.......................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…