Ommba?, Nomma?! nawasalimu Kisonjo cha Loliondo

Ommba?, Nomma?! nawasalimu Kisonjo cha Loliondo

Mzizi wa Mbuyu

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2009
Posts
7,467
Reaction score
7,258
Jamani naingia mtandaoni kwa salaam ya kisonjo,
Hapo Ommba! nawasalimia wanaume watu wazima na Nomma! kinamama watu wazima....ndicho cha pili nilicho ambulia kwa babu Samunge, Loliondo...
Mengine naamini nanyie wengi mmeenda mwayajua.
 
Na mimi nakukaribisha kisonjo bana tehetehetehe!!!!!!
 
Karibu sana KISIGINO,
Natumaini hujambo,pamoja na ugeni wako lakini naomba kujua jina lako lina maana gani?
 
Back
Top Bottom