mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,141
- 3,452
Nimecheka huo mto uloekewa kichwa ndio JK
Lilishangilia likapiga makofiYalikuwa yanaomba Zitto auawe Sasa yanakufa yenyewe, Asante corona,limoja limekufa tayari
Yalikuwa yanaomba mtanzania mwenzao auawe bila aibu, yaache yafe Kama mbwa yawe yanazikwa na manispaatemea chini ndugu yangu hili janga bado lipo laweza kupata hata wewe i
Yawezekana huyu GADO unayemchukia mno na kutaka akomolewe akawa na Akili Kubwa kuliko yako na ya huyo unayemtetea.
Na huenda ndo anakulisha wewe, tuvumiliane tu
Kazi ya sanaa ni kusaidia jamii kuelewa kupitia sanaa hiyo. Usimuone GADO kama ni mhalifu bali jadili tabia na hulka ya kiongozi wako. Je hayo anayoongelewa ni kweli au siyo kweli.Huyu mTanzania anayejulikana kama "GADO" amekuwa na mazoea ya kuwakejeli viongozi wetu wapendwa. Sasa hapa kamkejeli rais wetu anayependwa na wote (isipokuwa wachache tu ambao ni negligible na incosequential.)
Naomba serikali ya Magufuli imshataki in absentia kwa kuwa amejificha Kenya. Tukumbuke kuwa, wakati alimtusi rais Kikwete (picha ya pili), gazeti la the East African liliona moto. Sasa hivi, GADO hafanyi kazi na Nation Media, hakuna leverage kama ambayo Kikwete alikuwa nayo.
Suluhisho ni kumshataki na kuomba serikali ya Kenya imrejeshe Tanzania.
View attachment 1426346
Alipomkejeli JK
View attachment 1426347
Huyu mTanzania anayejulikana kama "GADO" amekuwa na mazoea ya kuwakejeli viongozi wetu wapendwa. Sasa hapa kamkejeli rais wetu anayependwa na wote (isipokuwa wachache tu ambao ni negligible na incosequential.)
Naomba serikali ya Magufuli imshataki in absentia kwa kuwa amejificha Kenya. Tukumbuke kuwa, wakati alimtusi rais Kikwete (picha ya pili), gazeti la the East African liliona moto. Sasa hivi, GADO hafanyi kazi na Nation Media, hakuna leverage kama ambayo Kikwete alikuwa nayo.
Suluhisho ni kumshataki na kuomba serikali ya Kenya imrejeshe Tanzania.
View attachment 1426346
Alipomkejeli JK
View attachment 1426347
Wewe ndio unatakiwa kuchukuliwa hatua maana humtakii mema rais wa nchiHuyu mTanzania anayejulikana kama "GADO" amekuwa na mazoea ya kuwakejeli viongozi wetu wapendwa. Sasa hapa kamkejeli rais wetu anayependwa na wote (isipokuwa wachache tu ambao ni negligible na incosequential.)
Naomba serikali ya Magufuli imshataki in absentia kwa kuwa amejificha Kenya. Tukumbuke kuwa, wakati alimtusi rais Kikwete (picha ya pili), gazeti la the East African liliona moto. Sasa hivi, GADO hafanyi kazi na Nation Media, hakuna leverage kama ambayo Kikwete alikuwa nayo.
Suluhisho ni kumshataki na kuomba serikali ya Kenya imrejeshe Tanzania.
View attachment 1426346
Alipomkejeli JK
View attachment 1426347
Huyu mTanzania anayejulikana kama "GADO" amekuwa na mazoea ya kuwakejeli viongozi wetu wapendwa. Sasa hapa kamkejeli rais wetu anayependwa na wote (isipokuwa wachache tu ambao ni negligible na incosequential.)
Naomba serikali ya Magufuli imshataki in absentia kwa kuwa amejificha Kenya. Tukumbuke kuwa, wakati alimtusi rais Kikwete (picha ya pili), gazeti la the East African liliona moto. Sasa hivi, GADO hafanyi kazi na Nation Media, hakuna leverage kama ambayo Kikwete alikuwa nayo.
Suluhisho ni kumshataki na kuomba serikali ya Kenya imrejeshe Tanzania.
View attachment 1426346
Alipomkejeli JK
View attachment 1426347
Acheni Genius GADO awafundisheni jinsi ya Kufikiri na Kutenda Kazi Wapuuzi wakubwa nyie.
nacheka kama mazuri vile.Lichungaji lilizingua sana.Yalikuwa yanaomba Zitto auawe Sasa yanakufa yenyewe, Asante corona,limoja limekufa tayari
Gado ni kibaraka wa Mabeberu mwacheni awatumikie wakimtema atarudi