johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Kiukweli katika mabunge yote kuanzia lile la Sapi hili la Ndugai ndio limetutia hasara sana kama taifa.
Pamekuwepo na utitiri wa chaguzi amnazo tulirudia kuchagua wabunge wale wale tuliowachagua 2015.
Kama taifa tumeingia hasara japo husemwa Demokrasia ina gharama zake lakini siyo kama hizi za kumchagua Mwita Waitara mara mbili na shukrani yake imekuwa kulitelekeza jimbo.
Chonde chonde Tume ya Uchaguzi wekeni utaratibu wa kuwapima akili wagombea ubunge wa upinzani.
Wagombea wa CCM kwa kiasi fulani wanajitambua, wakijiuzulu wanachapa rapa hawalambi matapishi.
Maendeleo hayana vyama!
Pamekuwepo na utitiri wa chaguzi amnazo tulirudia kuchagua wabunge wale wale tuliowachagua 2015.
Kama taifa tumeingia hasara japo husemwa Demokrasia ina gharama zake lakini siyo kama hizi za kumchagua Mwita Waitara mara mbili na shukrani yake imekuwa kulitelekeza jimbo.
Chonde chonde Tume ya Uchaguzi wekeni utaratibu wa kuwapima akili wagombea ubunge wa upinzani.
Wagombea wa CCM kwa kiasi fulani wanajitambua, wakijiuzulu wanachapa rapa hawalambi matapishi.
Maendeleo hayana vyama!