Ombi muhimu sana kwa ITV

Ombi muhimu sana kwa ITV

jorojo

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
1,642
Reaction score
12
watanzania walio wengi hawakupata fursa ya kuangalia kongamano la wajumbe wa tume ya warioba jana pale ubungo plaza tunaomba video za jana zipandishwe YOUTUBE kutoa fursa ya watanzania kuziangalia kwa makini pamoja na viongozi wa serekali wenye mtazamo potofu kama wassira, lukuvi,na wakina mwigulu
 
Mleta mada umeleta point kubwa sana, tatizo hawatasikia!

Huyu hapa chini ni samwel sitta!

Anasema "kuna chombo kimoja kinajifanya chenyewe ndio kinajua sana kuitisha midahalo,kazi yao ni kushambulia,kupambana na mbaya zaidi wahudhuriaji wengi ni wa upande mmoja wanashambulia,wanazomea na kushangilia.Sasa serikali muangalie hili nadhani waziri Fenela Mkangara upo hapa .Maana haiwezekani wafanye haya kisa ni chombo binafsi tu"


Wasambaze ili iwe km njia ya kumuelimisha samwel sitta!
 
kweli kabisa mtoa mada hujakosea
 
Tuna safari ndefu sana watanzania kufukia uhuru wa kweli
 
Nashauri ITV wa durufu cD nyingi za mdahalo wa jana. Tutakwenda nazo kwenye mizunguko yetu ya kuwaelimisha wananchi masuala ya katiba na kile ccm inafanya ikiwa ni pamoja na hila za kufunga tovuti, na sasa kuzuia midahalo na kutaka kukiwajibisha ITV. Nchin nzima tutaandamana kupinga ubeberu wa ccm.
 
Cjakiona hicho kipindi ila ni kuwa:
Hapakuwa na mtu yeyote aliyerekodi halafu a-upload kwenye youtube?
Wananchi itabidi tuandamane endapo kama mabeberu watachukua hatua dhidi ya ITV.

Je Sitta kwa kauli aliyoitoa ina maana yote anayosema dhidi ya "checheme" ni unafiki?
 
Hii nchi siyo ya watawala jaman mbona hivi mpaka watushike kwenye makalio ndo tushtuke mm binafsi am tired with these politician of ccm wanahis hii nchi watakaa nayo katika mazingira haya mpaka lini jaman
 
watanzania walio wengi hawakupata fursa ya kuangalia kongamano la wajumbe wa tume ya warioba jana pale ubungo plaza tunaomba video za jana zipandishwe YOUTUBE kutoa fursa ya watanzania kuziangalia kwa makini pamoja na viongozi wa serekali wenye mtazamo potofu kama wassira, lukuvi,na wakina mwigulu

Ukawa wanashauriwa waudurufu mkanda wa mdaharo huo na wutumie kwenye mikutano yao na ikwezekana wadurufu cd za kutosha kuwagawia au hata kuwauzia wananchi
 
Ule mdahalo, kama chombo cha habari kimojawapo kilivyorippti leo kuwa cheche zilizotemwa na akina Warioba, Profesa Kabudi, Mzee Butiku na kijana Polepole, ilikuwa funga kazi.

Ndiyo maana, wabunge wa bunge la katiba, akiwemo Samuel Sitta na Dr Kigwangwala, tokea leo asubuhi, badala ya kujikita kuijadili Rasimu, badala yake wameendeleza mipasho na kejeli, kwa Jaji Warioba na Tume yake.

Ni dhahiri kwa sasa, kila anayeangalia bunge la katiba, anagundua kuwa wabunge hao wameishiwa hoja za kuwashawishi wananchi, sababu za kutosha ni kwa nini wanayakataa maoni ya wananchi yaliyomo kwenye Rasimu ya Tume ya Warioba na badala yake wanataka kuchomeka, sura zao mpya, zilizoandaliwa pale Lumumba.

In this situation, getting a new constitution in our country, at present circumstances, we can dare to call it as a next to impossible mission!
 
ndg waziri wa miundo mbinu je unajua kinachoendelea na ajira ambazo mameneja wako wanatangaza halafu watu hawaitwi kwenye usaili, je kunanini? kinachoendelea mbona majina hayajawahi kuwekwa gazetini kuonyesha wanahitajika kwenda kufanya interview au mnawaonea tu watu wa uhamiaji tuanomba waziri au katibu mkuu weka hizi ajira zielewke sio kuweka ndg zenu,waziri magufuri unajua kinachoendelea/tafadhali fuatilia hili swala utagunduwa madudu kama ya uhamiaji.
 
Back
Top Bottom