Mheshimiwa Tundu Lissu umetetea kwa nguvu kubwa bungeni kuhusu jengo la Mahakama kuu ya nchi. Hata hivyo inaelekea hukusikilizwa na upo uwezekano Tanzania kama Taifa huru tukajengewa jengo la mahakama kuu - chombo cha juu kabisa katika kusimamia utoaji wa haki katika nchi yetu. Ni aibu na fedheha kubwa hasa kipindi hiki tunaposheherekea miaka 50 ya uhuru kujengewa jengo la Mahakama na mmiliki wa hoteli toka nje ya nchi!
Sasa basi, kwa nafasi ya kipekee uliyonayo kama mbunge na kama mwanasheria naomba utuongeze sisi wananchi wa Tanzania ili TUCHANGE na kujenga jengo la mahakama kwa VIJISENTI vyetu WENYEWE. Uhuru wetu uko hatarini na vizazi vijavyo vitatulaani tukiruhusu kujengewa Mahakama na mwekezaji toka nje! Nina hakika watanzania pamoja na shida zetu wataiitika mwito wa kujenga jengo la mahakama sisi wenyewe. Naomba mwongozo wako.
Sasa basi, kwa nafasi ya kipekee uliyonayo kama mbunge na kama mwanasheria naomba utuongeze sisi wananchi wa Tanzania ili TUCHANGE na kujenga jengo la mahakama kwa VIJISENTI vyetu WENYEWE. Uhuru wetu uko hatarini na vizazi vijavyo vitatulaani tukiruhusu kujengewa Mahakama na mwekezaji toka nje! Nina hakika watanzania pamoja na shida zetu wataiitika mwito wa kujenga jengo la mahakama sisi wenyewe. Naomba mwongozo wako.