Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,707
- 1,729
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu, mimi ni ndugu yako wa karibu na ni Mtanzania halisi. NINAOMBA KUKARIBISHWA KWENYE SIKUKUU HII YA PASAKA. Nina uzoefu wa kula vizuri pasipo kudondosha hata chakula kwa zaidi ya miaka 25 sasa. Nina uwezo mkubwa sana katika hili na nina HOTPOT maalum ya kuchukua vyakula vitakavyobakia hasa NYAMA, sina aleji na chakula chochote.
Wako katika misosi.
Wako katika misosi.