kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Hakika inasikitisha sana kuona bado hata wale WALIOPANDISHWA MADARAJA na barua zao kutakiwa kurekebishwa na Katbu Mkuu Utumishi mpaka Leo Hawajarekebishiwa mishahara yao.Barua hizo zilitakiwa zisomeke Novemba 2017 na tayari zimesomeka.Tunaiomba Serikali isikie Ombi hilo.