Mzee, hili ombi bado lina maana yake yote leo, miaka tatu baada ya buswelu kulitoa. sijui bado uko busy na "maendeleo ya riwaya ya ufalme wa tandu" au ndio umeamua kutunyima kabisa... Nadhani wanajamiiforum wengi watakubaliana na mimi nikisema we miss it all.
wengine tuna furahia sana tukisoma creations zako, hata za zamani, ila sasa tumezisoma hadi tumezi-memorize. Kama kuna ka blog, au ka site unako zipost, tunaomba utupe link tafadhali.
Asante sana.