aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,630
- 3,578
Hizi wilaya zimekamilika kila kitu milishangaa sana uliulipounda mikoa kama njombe katavi,simiyu wakati haijazifikia wilaya tajwa kila sekata.
Pia nashauri kuongeza ufanisi wilaya za kibaha bagamoyo zizihamishiwe katika mkoa wa dar es salaam, mkoa wa pwani ubaki na rufiji,mkuranga mafia na kisarawe kwani kwa salsa inaleta mkanganyiko,
Pia nashauri kuongeza ufanisi wilaya za kibaha bagamoyo zizihamishiwe katika mkoa wa dar es salaam, mkoa wa pwani ubaki na rufiji,mkuranga mafia na kisarawe kwani kwa salsa inaleta mkanganyiko,