wakuu
tutakumbaka wiki hii jeshi la polisi lilizuia maandamano ya chama cha wananchi CUF na kuwapiga na kuwadhalilisha vibaya viongozi na wanachama wa cuf vurugu hizo zilizoratibiwa na jeshi la polisi kwa maagizo "kutoka juu" ziliacha madhara makubwa sana
Moja ya sababu walizotoa jeshi la polisi ni kuwa kulikuwa kuna tishio la "Ugaidi" kutokana na silaha zilizoibiwa huko ikwiriri hivyo kwa taarifa nilizonazo mpaka sasa silaha hizo hazijapatikana hivyo tishio la "Ugaidi" bado lipo
nadhani pamoja na tishio hilo la ugaidi na sababu nyingine walizozitumia kuzuia maandamano ya CUF ni matumaini yangu kuwa watazitumia sababu hizohizo kuzuia maandamano ya Ccm kesho huko songea
jeshi la polisi lisipozuia maandamano ya ccm kesho ni wazi kuwa jeshi hilo linatumika kwa maslahi ya wachache
we need double standards
Tanzania police reform must be part of
our national agenda.
Tunahitaji jeshi linalotoa huduma(Police
Service).
Urgent steps are required to render the
police force professionally
competent,Operationally
neutral,Funcionally Cohesive and
organizationally responsible for all of its
actions
professor kilaza
tutakumbaka wiki hii jeshi la polisi lilizuia maandamano ya chama cha wananchi CUF na kuwapiga na kuwadhalilisha vibaya viongozi na wanachama wa cuf vurugu hizo zilizoratibiwa na jeshi la polisi kwa maagizo "kutoka juu" ziliacha madhara makubwa sana
Moja ya sababu walizotoa jeshi la polisi ni kuwa kulikuwa kuna tishio la "Ugaidi" kutokana na silaha zilizoibiwa huko ikwiriri hivyo kwa taarifa nilizonazo mpaka sasa silaha hizo hazijapatikana hivyo tishio la "Ugaidi" bado lipo
nadhani pamoja na tishio hilo la ugaidi na sababu nyingine walizozitumia kuzuia maandamano ya CUF ni matumaini yangu kuwa watazitumia sababu hizohizo kuzuia maandamano ya Ccm kesho huko songea
jeshi la polisi lisipozuia maandamano ya ccm kesho ni wazi kuwa jeshi hilo linatumika kwa maslahi ya wachache
we need double standards
Tanzania police reform must be part of
our national agenda.
Tunahitaji jeshi linalotoa huduma(Police
Service).
Urgent steps are required to render the
police force professionally
competent,Operationally
neutral,Funcionally Cohesive and
organizationally responsible for all of its
actions
professor kilaza