LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
Nimeshtushwa na kichwa cha habari cha gazeti la Mwanaspoti la leo kwamba eti kwa sababu ya ujio wa Okra basi Moloko na Musonda hatma zao ndani ya Yanga zipo mashakani.
Please Mr. President , do anything in ur power to make sure that Musonda doesn't go anywhere.
I beg you by five books of Moses please don't let Musonda go.
Am saying this from a spiritual perspective.
Anga la sasa katika ulimwengu wa kiroho kwenye mashindano ya mchezo wa mpira wa miguu nchini Tanzania na barani Afrika kwa ujumla, linalazimisha Musonda lazima aendelee kuwepo ndani ya kikosi cha Yanga no matter what.
Am saying this because I know what Musonda' s aura represents in the realm of the spirit.
Ningekuwa mkuu wa benchi la ufundi la Yanga ningeshauri Musonda ndio awe wa kwanza kuingia na kutoka ndani ya pitch.
Please my brother. Take this advice serious
Please Mr. President , do anything in ur power to make sure that Musonda doesn't go anywhere.
I beg you by five books of Moses please don't let Musonda go.
Am saying this from a spiritual perspective.
Anga la sasa katika ulimwengu wa kiroho kwenye mashindano ya mchezo wa mpira wa miguu nchini Tanzania na barani Afrika kwa ujumla, linalazimisha Musonda lazima aendelee kuwepo ndani ya kikosi cha Yanga no matter what.
Am saying this because I know what Musonda' s aura represents in the realm of the spirit.
Ningekuwa mkuu wa benchi la ufundi la Yanga ningeshauri Musonda ndio awe wa kwanza kuingia na kutoka ndani ya pitch.
Please my brother. Take this advice serious