Ombaomba mjini: Suluhisho gani?

Ombaomba mjini: Suluhisho gani?

mwengeso

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2014
Posts
9,286
Reaction score
6,729
Suala la kuwepo ombaomba mijini na Serikali kutokuwa na mikakati ya kudumu kukabiliana nalo, nalileta kwa majadiliano. Hii ni baada ya kufanya marejeo ya bandiko kadhaa humu JF:

Tatizo la ombaomba jijini Dar

DAR: Ombaomba 60 wakamatwa, kufikishwa mahakamani

Operation ya kuondoa Ombaomba Dar yagonga mwamba, Polisi yajipanga upya

RC Makonda: Ni marufuku kuwasaidia Ombaomba barabarani jijini Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar atoa siku 6, ombaomba wasionekane mabarabarani Dar

Watoto wadogo (2-10 years old) ombaomba Dar es salaam: Wizara ya Watoto inafanya nini????

Bandiko hizo zimezungumzia sana hilo tatizo la ombaomba, je, ni kweli hatuna suluhisho la kudumu?

Ofisi ya Waziri Mkuu: Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu, ina mipango gani, au ni ofisi tu kwa jina?
 
Back
Top Bottom