Omba usipate mke kama huyu...

Omba usipate mke kama huyu...

KIRIKIOU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2014
Posts
241
Reaction score
57
MUME::haloo mke wangu..nimepata ajali nikielekea kazini.elizabeth amenileta hospital.japo kichwa kimepasuka madokta wamesema nitakua sawa ila wamenipiga x-ray mbavu tatu zimevunjika na huenda wakanikata mguu.

MKE:: ELIZABETH NI NANI?
 
Hapo afya yako ni moja na Elizabeth ni mbili.
Yote ni ya kujadili ingawa la pili linategemea sana la kwanza,kama uko stable!!
 
MUME:ni yule dada anayekusaidia kazi za chumbani siku mojamoja.
MKE: ????????
 
MUME::haloo mke wangu..nimepata ajali nikielekea kazini.elizabeth amenileta hospital.japo kichwa kimepasuka madokta wamesema nitakua sawa ila wamenipiga x-ray mbavu tatu zimevunjika na huenda wakanikata mguu.

MKE:: ELIZABETH NI NANI?

Ungetaja Pdidy kanleta

Angeuliza umeanza lini hakokamchezo


Baibo inasemawazi tuishinaokwa akili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom