Afro-Arabica
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 1,107
- 493
Napendekeza na kutanabaisha wenye mamlaka ya kusimamia jiji wachukuwe hatua haraka!!
Wengi wetu,madereva na wenye kumiliki magari tupo hatarini sana.. haswa tunapokuwa ktk barabara na gari lako unakosa Amani na kuwa katika sintomakini maana tunakabiliana na yafuatayo:~
1. Omba omba na va vototo vyao hukatiza mbele na kuja dirishani..
2. Machinga nao hukubughudhi na kukubabaisha...
3. Trafik na jeshi lao la kushtukizia na kukusimamisha ghafla..hatimae tija ikutoke 10 au Zaidi elfu.
4. Vibaka na wahuni kuwahi dirishani na disibisi zao kukchoma nk nk....
5. Bodaboda nao hutangiza na kuvunja sharia za barabarani bila kujali...
Nawsilishi ili tuweze kurekebisha haya mambo ambayo yapo ktk mikono yetu na uwezo wetu!!
Wengi wetu,madereva na wenye kumiliki magari tupo hatarini sana.. haswa tunapokuwa ktk barabara na gari lako unakosa Amani na kuwa katika sintomakini maana tunakabiliana na yafuatayo:~
1. Omba omba na va vototo vyao hukatiza mbele na kuja dirishani..
2. Machinga nao hukubughudhi na kukubabaisha...
3. Trafik na jeshi lao la kushtukizia na kukusimamisha ghafla..hatimae tija ikutoke 10 au Zaidi elfu.
4. Vibaka na wahuni kuwahi dirishani na disibisi zao kukchoma nk nk....
5. Bodaboda nao hutangiza na kuvunja sharia za barabarani bila kujali...
Nawsilishi ili tuweze kurekebisha haya mambo ambayo yapo ktk mikono yetu na uwezo wetu!!