Kijana mmoja aliota amekufa na yupo mbinguni Akiwa huko, aliambiwa na Malaika kuwa ametolewa roho kwa bahati mbaya hivyo atarudishwa duniani kama mnyama.
Kijana nae akachagua awe kuku. Mara akajikuta yupo ndani ya kibanda huku akipata hisia asiyoifahamu.
Akamuuliza jogoo pembeni yake, ni hisia gani hii?
Jogoo akamuuliza, ushawahi kutaga wewe?
Akajibu bado.
Jogoo akamwambia, hilo ni yai linataka kutoka hivyo kamua kwa nguvu.
Akakamua mara ya kwanza, likatoka yai.
Akaendelea kukamua tena, likatoka jengine.
Ghafla akasikia mtu anamuamsha, we ---- mbona UNAKUNYA kitandani?!?!
Kijana nae akachagua awe kuku. Mara akajikuta yupo ndani ya kibanda huku akipata hisia asiyoifahamu.
Akamuuliza jogoo pembeni yake, ni hisia gani hii?
Jogoo akamuuliza, ushawahi kutaga wewe?
Akajibu bado.
Jogoo akamwambia, hilo ni yai linataka kutoka hivyo kamua kwa nguvu.
Akakamua mara ya kwanza, likatoka yai.
Akaendelea kukamua tena, likatoka jengine.
Ghafla akasikia mtu anamuamsha, we ---- mbona UNAKUNYA kitandani?!?!