Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
rejao
ogopa story za vijiweni,maana huko ndiko dili huanzia,ukweli hupatikana vijiweni
Mkuu huko ndiko kwa wananchi na wanajua mengi kweli kuliko tunavyofikiri. Mimi kila jioni lazima ninywe kahawa na wananchi vijiweni. Unaweza shangaa wanajua kila kinachofanyika kwa kuwa wengine hutumwa wakidhaniwa ni mbumbumbu kumbe wanajipatia habari za hapa na pale. Ukizichija utapata kitu.