Kumbe lile dili la dola milioni 300 lilichongwa na Rostam ambaye alisha waweka sawa watu wa MAGAZETI, TREASURY, TPA MANAGEMENT, KAMATI YA BUNGE, BODI YA TPA na wengineo
kazi ya USD 300 MILLION ilikuwa over inflated to 600 million....mkulo out of those angepata 24 million usd
Nundu ndugu yetu kazi unayo maana kama ngoma ni vs ROSTAM hii haitoisha leo wala kesho sasa subirini muone kijana wa rostama akija hapa JF kuja kumsafisha.
kazi ya USD 300 MILLION ilikuwa over inflated to 600 million....mkulo out of those angepata 24 million usd
Nundu ndugu yetu kazi unayo maana kama ngoma ni vs ROSTAM hii haitoisha leo wala kesho sasa subirini muone kijana wa rostama akija hapa JF kuja kumsafisha.