Omar Bongo, Paul Biya na Teodoro Obiang wote ni wa kabila moja japo ni marais wa nchi tofauti

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,722
29,086
Mzuka Wanajamvi!

Rais aliyepinduliwa wa Gabon Ali Bongo katoka kabila moja Fang na rais wa Cameroon Paul Biya na rais wa Equatorial Guinea Teodoro Obiang Nguema.

Ni mipaka tu iliyowekwa na wakoloni kuzitengenisha hizi nchi huku Ufaransa ikichukua Gabon na Cameroon na Uispania kujinyakulia Equatorial Guinea.

Acheni tu Karma iendelee kuitafuna familia ya Ali Bongo baba yake Omar.

Muamar Gadafi alitaka kuanzisha Central Bank of Africa Yaunde Cameroon ili amkomboe mtu mweusi kiuchumi kwa kuwapa msaada wa kifedha bure bila riba. Na mwamba Gadafi alikuwa tayari kuweka dollar billion 200 kwenye iyo benki.

Cha kushangaza marehem Omar Bongo, Paul Biya na aliyekuwa rais wa Senegal Abdoulaye Wade wakawa wanavujisha siri kwa Nicolas Sarkozy aliyekuwa rais wa ufaransa kwa kila mchakato na kikao.

Senior JF Geopolitics analyst and correspondent
 
Muhammae Gadaf yupi unayempamba mbona ndugu zako wanamnanga alikuwa katili ?

Nyie hamuwezi kufanya mapinduzi ya kijeshi kwa vile mna ukabila hata mkipindua mtapinduliwa ,hakuna mtu atakubali kuongozwa na wakabila waliopewa madaraka ya chini miaka ya nyuma wakaanza kuingiza ndugu zao kwenu system ,mpaka Mwalimu Nyerere alitoa onyo.

We endelee kubeba box huko utumwani maana umekimbia njaa za kule migombani.
 
Zimbabwe sijui kwa nini wanajeshi wamelala.
Zimbambwe kuna tatizo gani tena..?...si juzi tu walimtoa Mugabe...?...pale shida ni Mnangagwa au ni vikwazo walivyowekewa na wazungu baada ya kuwapora Ardhi Waingereza...?...
pale hata wakija Wanajeshi au Wapinzani...ni kipi zaidi watakifanya kwa hali ilivyo pale??

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom